Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Kwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.

Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.

Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.

Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.
 
Dem wako hajitambui au huna mda wa kukaa nae sana ndio mana anafanya haya. Kama umezaa nae na umepata watoto nae fanya haya.

1. Andaa mazingira ya kufilisi mtaji wa hio biashara kisiri siri ili utoe pesa yako (nenda na idea mpya ya biashara kigezo mtaji unahamishia huko).

2. Mchane mkeo live kua umejua anamahusiano na huyo mwamba ( hili lifanye ukiwa angalau umepata nusu ya mtaji/ kuuhamisha kutoka biz ya wife).

3. Majibu ya mkeo yakiwa ya kipuuzi meanz kamuelewa msela ,toa taraka na ili usiwe na shaka nenda kempu kwa Chalii Oscar (CE) wa kikosi peleka hoja yako hapo atakusaidia kwa njia salama kabisa.

Sijajua mengi ila mke wako namuona kama chenga na huenda mwamba kaambiwa dem ni single so jimbo liko wazi

Kwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.

Description: Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.

Ana mke na watoto.

Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa.

Anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa.

Nilimfungulia biashara. So huyo mjeda kakutana nae kwenye biashara..

Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.

KWA uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana ( kihela)

So KWA mtu anae wajua HAWA jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please..
ui
 
Kamchukulie mkewe ulipe kisasi.
Nope sihitaji kulipa kisasi nahitaji kumfanya akae mbali na mwanamke wangu kwa kutumia Saikoloji. A polite command. Yani nifanye kitu ambacho kuyafanya automatically huyo mwanajeshi a back down

Bado sina uhakika kama etembea nae but najua ana flirt nae nae anampa mpa vijihela.


Hapa nafanya clandestine kujua what do these soldiers do to women when they are in love ILI nijue strength yao Ilipo kisha ni attack hiyo strength
 
Dem wako hajitambui au huna mda wa kukaa nae sana ndio mana anafanya haya.Kama umezaa nae na umepata watoto nae fanya haya .
1.Andaa mazingira ya kufilisi mtaji wa hio biashara kisiri siri ili utoe pesa yako ( nenda na idea mpya ya biashara kigezo mtaji unahamishia huko).
2.Mchane mkeo live kua umejua anamahusiano na huyo mwamba ( hili lifanye ukiwa angalau umepata nusu ya mtaji/ kuuhamisha kutoka biz ya wife).
3.Majibu ya mkeo yakiwa ya kipuuzi meanz kamuelewa msela ,toa taraka na ili usiwe na shaka nenda kempu kwa Chalii Oscar (CE) wa kikosi peleka hoja yako hapo atakusaidia kwa njia salama kabisa.
Sijajua mengi ila mke wako namuona kama chenga na huenda mwamba kaambiwa dem ni single so jimbo liko wazi

ui
Nope this is not my mode operandi.

Mimi nataka kujua behavior ya wajeda kwenye mahusiano. What do they do ? Wanahonga sana ? Au ? I just want to know this ili nijue natumia mbinu GANI kuicontain hiyo threat.
 
Mkuu pia kumbuka wanajeshi wengi wa Tz ni standard 7 na form 4 failure hivyo ujue kiwango chao cha ujinga ni kikubwa-kumbuka unapofanya argument na MTU mjinga ufahamu madhara yake na maamuzi yake.nenda nae polepole huwa wachelewi kujitoa mhanga wote mkose.

Most if them they are stupid in nature.
 
Nope this is not my mode operandi.

Mimi nataka kujua behavior ya wajeda kwenye mahusiano. What do they do ? Wanahonga sana ? Au ? I just want to know this ili nijue natumia mbinu GANI kuicontain hiyo threat.
Ooh kuhonga ni kawaida somo la uvumilivu wamefaulu ,kutoa mshahara wote akala shoo siku moja ili ,ateseke 28 zilizobaki sio kesi kwao hivo mke kapagawa na hilo tu , kiufupi makamanda wote ni team misifa
 
Mboni simple sana, kwenye mapenzi hakuna mwanajeshi wala raia na mwanajeshi ndio easy pissed yaan yakimshinda hachelewi kujifyatua,

Ushauri:
Ameingilia familia yako na wewe ingilia familia yake anam-flirt mkeo na wewe tafuta mkewe anza kum-flirt hio ndio weakness yao, akigundua unambandua mkewe na yeye anam-flirt mkeo atagundua amekwisha
Hapa nafanya clandestine kujua what do these soldiers do to women when they are in love ILI nijue strength yao Ilipo kisha ni attack hiyo strength
 
Ooh kuhonga ni kawaida somo la uvumilivu wamefaulu ,kutoa mshahara wote akala shoo siku moja ili ,ateseke 28 zilizobaki sio kesi kwao hivo mke kapagawa na hilo tu , kiufupi makamanda wote ni team misifa
Kama utaamua kuhonga zaidi yake pia utakua ni ujuha manake jimbo limeshachukuliwa
 
Back
Top Bottom