AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,406
- 4,899
Basi mtakua mnagongeana.Boya tuu hao..tunawagongea sana huku kitaa.
We muwahi kugonga kwake kabla hajakuwahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mtakua mnagongeana.Boya tuu hao..tunawagongea sana huku kitaa.
We muwahi kugonga kwake kabla hajakuwahi
Funga biashara hiyo. Timua mkeo, magonjwa mengi siku hizi. Uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo wana mademu kibaoKwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.
Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.
Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.
Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.
We ni mwanaume kweli au wakiume?? Una umri gani??Nope sihitaji kulipa kisasi nahitaji kumfanya akae mbali na mwanamke wangu kwa kutumia Saikoloji. A polite command. Yani nifanye kitu ambacho kuyafanya automatically huyo mwanajeshi a back down
Bado sina uhakika kama etembea nae but najua ana flirt nae nae anampa mpa vijihela.
Hapa nafanya clandestine kujua what do these soldiers do to women when they are in love ILI nijue strength yao Ilipo kisha ni attack hiyo strength
Kwa maoni yangu usideal na huyo mwanajeshi lakini shughulika kikamilifu na mke wako.Nope sihitaji kulipa kisasi nahitaji kumfanya akae mbali na mwanamke wangu kwa kutumia Saikoloji. A polite command. Yani nifanye kitu ambacho kuyafanya automatically huyo mwanajeshi a back down
Uyo jamaa boya saanaWe nae bishoo tu...yaan unatombe.wa my wife wako, badala ukinukishe eti uko hapa
ooh nimepata point tatu, sijui validation...bonge la nyangema yaaan[emoji848]
Kampake mtu Vaseline huko, thats how masculine react
Cha buku 5 ndio nini? 🤣Nawe mgongee mkewe..ukishindwa kamroge Cha buku 5
[emoji3577][emoji3577]We nae bishoo tu...yaan unatombe.wa my wife wako, badala ukinukishe eti uko hapa
ooh nimepata point tatu, sijui validation...bonge la nyangema yaaan[emoji848]
Kampake mtu Vaseline huko, thats how masculine react
Haya hawaongi sana ninwaongo-waongo.Nope this is not my mode operandi.
Mimi nataka kujua behavior ya wajeda kwenye mahusiano. What do they do ? Wanahonga sana ? Au ? I just want to know this ili nijue natumia mbinu GANI kuicontain hiyo threat.