Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Sasa ngoja wajee waachie maharamia waangie kidgo tu mpapaswe ndo waje wasaidie utaskia raia wanasema wanajesh mlikua wapi mheshmun nae kakosea kuingilia
 
Za kichwani
Hapana sidhani kama ni kweli, madhaifu kila mtu anayo kwa majeshi ya kisasa watu wengi wanaokuwa recruited huko ni tofauti na zamani wachache ndo huwa na mambo ya kiswahili swahili tu ya kutaka kujionesha onesha.
 
Acha kwenda kimuvi muvi mkuu…acha kujikuta detective fulani…
Kaa na mkeo mueleze kuwa hupendi moja, mbili tatu hata kama anaona unaingilia biashar yake poa, ila unakua ushatoa alert.

Mke wa mtu anapokeaje hela zisizo na maelezo kutoka kwa mwanaume mwingine.

Anza na nyumbani kwako kwanza, unless utafanya intelligence gathering kila mwezi kama sio kila mwaka anapopata mteja wa kumnyatia huyo mkeo kama usipoongea nae
 
Mkuu pia kumbuka wanajeshi wengi wa Tz ni standard 7 na form 4 failure hivyo ujue kiwango chao cha ujinga ni kikubwa-kumbuka unapofanya argument na MTU mjinga ufahamu madhara yake na maamuzi yake.nenda nae polepole huwa wachelewi kujitoa mhanga wote mkose.

Most if them they are stupid in nature.

Akili huna mbizi kabisa
 
Kwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.

Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.

Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.

Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.
Tabia walizonazo kwenye mahusiano ni kama za raia wengine na tabia hutofautiana kati ya mtu na mtu, tatizo liko kwa mke wako, kama una ushahidi, fanya maamuzi sahihi, bila kuvunja sheria za nchi.
 
mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.

Mi nimewahi kugombea demu na mjeda mmoja Msata pale, akitokea Pongwe Sungura. Uwezi amini mjeda alikuwa akija anaachwa nje yaani afunguliwi mlango nikiwepo mpaka niondoke, na anaambiwa ndani kuna mtu na aletu fujo. Kipindi hicho charii niko kapuku tuu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nope this is not my mode operandi.

Mimi nataka kujua behavior ya wajeda kwenye mahusiano. What do they do ? Wanahonga sana ? Au ? I just want to know this ili nijue natumia mbinu GANI kuicontain hiyo threat.

Wanahonga sana nafikiri kwa kuwa pesa zao hazina kazi

Ukiwa na mjedaa ni raha unakula pesaa na kusuguliwa vizuri
 
Asante sana mkuu nimepata point ya pili.


Point ya KWANZA : ni vicheche

Point ya pili: they are illiterate.

I am still doing intelligence gathering

Anakudanganya huyo labda wanajeshi wa zamani

Wanajeshi wa siku hizi wamesomaa
 
Dem wako hajitambui au huna mda wa kukaa nae sana ndio mana anafanya haya. Kama umezaa nae na umepata watoto nae fanya haya.

1. Andaa mazingira ya kufilisi mtaji wa hio biashara kisiri siri ili utoe pesa yako (nenda na idea mpya ya biashara kigezo mtaji unahamishia huko).

2. Mchane mkeo live kua umejua anamahusiano na huyo mwamba ( hili lifanye ukiwa angalau umepata nusu ya mtaji/ kuuhamisha kutoka biz ya wife).

3. Majibu ya mkeo yakiwa ya kipuuzi meanz kamuelewa msela ,toa taraka na ili usiwe na shaka nenda kempu kwa Chalii Oscar (CE) wa kikosi peleka hoja yako hapo atakusaidia kwa njia salama kabisa.

Sijajua mengi ila mke wako namuona kama chenga na huenda mwamba kaambiwa dem ni single so jimbo liko wazi


ui
Charlie Oscar (CO).... Not CE
 
Kwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.

Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.

Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.

Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.
Huyo nyumba ndogo bora akukimbie... umechukuliwa mke halali wa ndoa unakuja hapa badala ya kupambania familia yako.... mko jamani wanaume nyie....
 
Back
Top Bottom