Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Uwanajeshi ni kazi tu ,character zote ni kama wewe....Ukiondoa kazi yake ya jeshi hana tofauti na wewe.....Ingawa mwanajeshi hapendi umuite raia ni kosa kubwa sana bora hata umtafune mkewe kuliko kumwita yeye raia.
 
Mkuu Bongotunacheza wala usihangaike sana.. Mkeo yupo kwenye biashara na huwezi kumzuia asichangamane au asiwasiliane na wateja.. Kitu cha maana ni kujua kiwango cha uelewa cha mkeo. Utam-distance na watu wangapi wakati umemfungulia biashara?

Kwa kawaida Wajeda wengi wa vyeo vya kawaida fedha zao ni za misimu yaani Boom wakati wewe ni constant.. 😀
Kwa maisha ya sasa kitu cha kujali ni heshima lakini ukifuatilia sana je ungeweza ku-distance mkeo na wafanyakazi wenzie kama angekuwa ameajiriwa?

Kwa hiyo hata hili linategemea saikolojia yako tu.. vinginevyo utamwekea mkeo uzio ambao hataupenda..
Pia kumbuka kuwa baadhi ya wanawake wakijua kuwa wewe una wivu au huwaamini mara nyingi wanakupa adhabu kwa kufanya vitu kwa kukusudia..
 
Ya ukweli hayo usemayo????
Kama unabisha fuatilia mwaka 78's ukimwi ulikuwa mwingi Kagera kutokea Uganda Kuna baadhi ya novel zimeelezea hili janga kama ile "passed like a shadow" nakumbuka waliezea kuhusu hilo gonjwa ,ila setting yake ilikuwa baada ya vita ile ya Uganda ukimwi ulisambaa sana

Walioleta ukimwi kule Kagera waliutoa Uganda walikuwa wanajeshi wengi machalii kipind icho na ilikuwa wanakaa mpaka miaka 5 ndo waoe so walikuwa wanafanya umalaya sana.
 
Kwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.

Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.

Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.

Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.
Tunatofautiana sana, mimi ningedili na mke wangu kwanini akubali kupokea pesa! mwanamke angemueleza keshaolewa na hataki mazoea ingeisha vzr, mwanamke hachepuko bahati mbaya Mkuu
 
Nope sihitaji kulipa kisasi nahitaji kumfanya akae mbali na mwanamke wangu kwa kutumia Saikoloji. A polite command. Yani nifanye kitu ambacho kuyafanya automatically huyo mwanajeshi a back down

Bado sina uhakika kama etembea nae but najua ana flirt nae nae anampa mpa vijihela.


Hapa nafanya clandestine kujua what do these soldiers do to women when they are in love ILI nijue strength yao Ilipo kisha ni attack hiyo strength
Sawa kabisa endelea kufuatilia mpaka siku wife anatoka chobingo hata wakati wakiingia chobingo usiwashtue mpaka watoke hapo ndipo utafiti wako utakamilika mkulungwa
 
Kama unabisha fuatilia mwaka 78's ukimwi ulikuwa mwingi Kagera kutokea Uganda Kuna baadhi ya novel zimeelezea hili janga kama ile "passed like a shadow" nakumbuka waliezea kuhusu hilo gonjwa ,ila setting yake ilikuwa baada ya vita ile ya Uganda ukimwi ulisambaa sana

Walioleta ukimwi kule Kagera waliutoa Uganda walikuwa wanajeshi wengi machalii kipind icho na ilikuwa wanakaa mpaka miaka 5 ndo waoe so walikuwa wanafanya umalaya sana.
Sasa hivi wanakaa miaka mingapi ndio waruhusiwe ndoa?
 
Kapime ukimwi mzee nakushauri kama uyo mwanajeshi ni ofisa kapime ukimwi mapema...
 
Mkuu pia kumbuka wanajeshi wengi wa Tz ni standard 7 na form 4 failure hivyo ujue kiwango chao cha ujinga ni kikubwa-kumbuka unapofanya argument na MTU mjinga ufahamu madhara yake na maamuzi yake.nenda nae polepole huwa wachelewi kujitoa mhanga wote mkose.

Most if them they are stupid in nature.
Futa iyo kauli yako mapema sana,mnatuona wapuuzi na wapumbavu bila sisi hii amani unayoiona ww leo inayokufanya unafurahia maisha isingekuwepo sisi tupo macho maporini uko tunakesha na kulinda mipaka ya hii nchi nyinyi mpo kidimbwi na samaki samaki mnakula bata futa iyo kauli yako mapema sana...
 
Futa iyo kauli yako mapema sana,mnatuona wapuuzi na wapumbavu bila sisi hii amani unayoiona ww leo inayokufanya unafurahia maisha isingekuwepo sisi tupo macho maporini uko tunakesha na kulinda mipaka ya hii nchi nyinyi mpo kidimbwi na samaki samaki mnakula bata futa iyo kauli yako mapema sana...
Kwani huko porini si umeenda kwa ridhaa yako,, halafu jamaa kasema ukweli wengi wenu akili hamna mna minguvu tu,

Halafu punguza mbwembwe na kujifanya mungu mtu, pumbavu kabisa
 
Kwani huko porini si umeenda kwa ridhaa yako,, halafu jamaa kasema ukweli wengi wenu akili hamna mna minguvu tu,

Halafu punguza mbwembwe na kujifanya mungu mtu, pumbavu kabisa
Akili ipi unayozungumzia?
 
Acha nidhamu ya uoga .ina onesha we ni muoga sana bila shaka ata uyo mkeo una muogopa
 
Back
Top Bottom