baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
Na wanaumeme sawa sana hao viumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanasambaza sana ,sehemu zilizo karibu na kambi za jeshi grid ya taifa imetamaradi.Na wanaumeme sawa sana hao viumbe
Aah wapi majasiri walikufa kwenye vitaNipo jasiri
Mimi nilipigwa bomu nikazimia nikaponaAah wapi majasiri walikufa kwenye vita
Ya ukweli hayo usemayo????Wanajeshi ni vicheche mno ndo walioleta ukwimu hapa bongo kwa sana baada ya ile vita ya Kagera.
Wajeda ni kundi dogo sana lakini sio kila tabia mbaya inawahusu waoAsante sana mkuu nimepata point ya pili.
Point ya KWANZA : ni vicheche
Point ya pili: they are illiterate.
I am still doing intelligence gathering
Kama unabisha fuatilia mwaka 78's ukimwi ulikuwa mwingi Kagera kutokea Uganda Kuna baadhi ya novel zimeelezea hili janga kama ile "passed like a shadow" nakumbuka waliezea kuhusu hilo gonjwa ,ila setting yake ilikuwa baada ya vita ile ya Uganda ukimwi ulisambaa sanaYa ukweli hayo usemayo????
Tunatofautiana sana, mimi ningedili na mke wangu kwanini akubali kupokea pesa! mwanamke angemueleza keshaolewa na hataki mazoea ingeisha vzr, mwanamke hachepuko bahati mbaya MkuuKwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.
Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.
Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.
Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.
Sawa kabisa endelea kufuatilia mpaka siku wife anatoka chobingo hata wakati wakiingia chobingo usiwashtue mpaka watoke hapo ndipo utafiti wako utakamilika mkulungwaNope sihitaji kulipa kisasi nahitaji kumfanya akae mbali na mwanamke wangu kwa kutumia Saikoloji. A polite command. Yani nifanye kitu ambacho kuyafanya automatically huyo mwanajeshi a back down
Bado sina uhakika kama etembea nae but najua ana flirt nae nae anampa mpa vijihela.
Hapa nafanya clandestine kujua what do these soldiers do to women when they are in love ILI nijue strength yao Ilipo kisha ni attack hiyo strength
Sasa hivi wanakaa miaka mingapi ndio waruhusiwe ndoa?Kama unabisha fuatilia mwaka 78's ukimwi ulikuwa mwingi Kagera kutokea Uganda Kuna baadhi ya novel zimeelezea hili janga kama ile "passed like a shadow" nakumbuka waliezea kuhusu hilo gonjwa ,ila setting yake ilikuwa baada ya vita ile ya Uganda ukimwi ulisambaa sana
Walioleta ukimwi kule Kagera waliutoa Uganda walikuwa wanajeshi wengi machalii kipind icho na ilikuwa wanakaa mpaka miaka 5 ndo waoe so walikuwa wanafanya umalaya sana.
Sijajua ila sheria Bora wabadiliSasa hivi wanakaa miaka mingapi ndio waruhusiwe ndoa?
Futa iyo kauli yako mapema sana,mnatuona wapuuzi na wapumbavu bila sisi hii amani unayoiona ww leo inayokufanya unafurahia maisha isingekuwepo sisi tupo macho maporini uko tunakesha na kulinda mipaka ya hii nchi nyinyi mpo kidimbwi na samaki samaki mnakula bata futa iyo kauli yako mapema sana...Mkuu pia kumbuka wanajeshi wengi wa Tz ni standard 7 na form 4 failure hivyo ujue kiwango chao cha ujinga ni kikubwa-kumbuka unapofanya argument na MTU mjinga ufahamu madhara yake na maamuzi yake.nenda nae polepole huwa wachelewi kujitoa mhanga wote mkose.
Most if them they are stupid in nature.
Kwani huko porini si umeenda kwa ridhaa yako,, halafu jamaa kasema ukweli wengi wenu akili hamna mna minguvu tu,Futa iyo kauli yako mapema sana,mnatuona wapuuzi na wapumbavu bila sisi hii amani unayoiona ww leo inayokufanya unafurahia maisha isingekuwepo sisi tupo macho maporini uko tunakesha na kulinda mipaka ya hii nchi nyinyi mpo kidimbwi na samaki samaki mnakula bata futa iyo kauli yako mapema sana...
Akili ipi unayozungumzia?Kwani huko porini si umeenda kwa ridhaa yako,, halafu jamaa kasema ukweli wengi wenu akili hamna mna minguvu tu,
Halafu punguza mbwembwe na kujifanya mungu mtu, pumbavu kabisa