Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Anayejua tabia za wanajeshi wanaume katika mahusiano (kuna mwanajeshi ana flirt na nyumba ndogo yangu)

Mkuu pia kumbuka wanajeshi wengi wa Tz ni standard 7 na form 4 failure hivyo ujue kiwango chao cha ujinga ni kikubwa-kumbuka unapofanya argument na MTU mjinga ufahamu madhara yake na maamuzi yake.nenda nae polepole huwa wachelewi kujitoa mhanga wote mkose.

Most if them they are stupid in nature.
Hili povu jamani duh!
 
We kaa ukijua mkeo analiwa na huyo mjeda, Cha kufanya piga chini huyo mwanamke chap Kisha chukua Mali zako urudi kwa mkeo wa kwanza.

Ukizingua tu kdgo utachezea risasi za huyo mjeda maana hao majamaa hawanaga Cha kupoteza kbsa.
 
Asante sana mkuu nimepata point ya pili.


Point ya KWANZA : ni vicheche

Point ya pili: they are illiterate.

I am still doing intelligence gathering
Hayo mambo ya kutokusoma yalikuwa zamani.

Watu siku hizi wanakula shule kuliko maelezo.

Tofautisha zama kabla halijakukuta dhahama.

Kisa watu wachache wanaofanya generalization.

N.B Kuna wasomi wa elimu ya kawaida na Kuna wasomi wa shahada mbali mbali na Kuna wasomi wa military science.

Haya Sasa nenda kayakanyage Karim Mandonga
 
...... asilimia kubwa ni malaya coz wanalipwa hela uku kazi ikiwa kidogo,angalia asije kuukwaa mkuu...ila yte kwa yte km mkeo anatongozwa na ka-mute ww unakuja gundua mwenyewe akili kichwan mwako
 
Kwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.

Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.

Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.

Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.
Vip unatak apasuke huyo mwanajesh?
 
We nae bishoo tu...yaan unatombe.wa my wife wako, badala ukinukishe eti uko hapa
ooh nimepata point tatu, sijui validation...bonge la nyangema yaaan[emoji848]

Kampake mtu Vaseline huko, thats how masculine react
😂😂😂 eti anakusanya data
 
Hayo mambo ya kutokusoma yalikuwa zamani.

Watu siku hizi wanakula shule kuliko maelezo.

Tofautisha zama kabla halijakukuta dhahama.

Kisa watu wachache wanaofanya generalization.

N.B Kuna wasomi wa elimu ya kawaida na Kuna wasomi wa shahada mbali mbali na Kuna wasomi wa military science.

Haya Sasa nenda kayakanyage Karim Mandonga
Itakua wanazungumzia Combatants wa Afande msuguri
 
Njia rahisi ni kumu attack physichologically utakua umemaliza kila kitu mkuu...yaani gusa mahali utulivu wa moyo wake ulipo
 
Piga biti ili ajue umejua anachat na mke wa mtu. Ukicheka na nyani utavuna mabua.
 
Kwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.

Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.

Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.

Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.
Mtu anayekutafunia mke wako wala usimuogope.

Mpelekee moto
 
Back
Top Bottom