Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
uiKwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.
Description: Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
Ana mke na watoto.
Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa.
Anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa.
Nilimfungulia biashara. So huyo mjeda kakutana nae kwenye biashara..
Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.
KWA uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana ( kihela)
So KWA mtu anae wajua HAWA jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please..
Nope sihitaji kulipa kisasi nahitaji kumfanya akae mbali na mwanamke wangu kwa kutumia Saikoloji. A polite command. Yani nifanye kitu ambacho kuyafanya automatically huyo mwanajeshi a back downKamchukulie mkewe ulipe kisasi.
Kisha ajiandae kupasuliwa spikaKamchukulie mkewe ulipe kisasi.
Nope this is not my mode operandi.Dem wako hajitambui au huna mda wa kukaa nae sana ndio mana anafanya haya.Kama umezaa nae na umepata watoto nae fanya haya .
1.Andaa mazingira ya kufilisi mtaji wa hio biashara kisiri siri ili utoe pesa yako ( nenda na idea mpya ya biashara kigezo mtaji unahamishia huko).
2.Mchane mkeo live kua umejua anamahusiano na huyo mwamba ( hili lifanye ukiwa angalau umepata nusu ya mtaji/ kuuhamisha kutoka biz ya wife).
3.Majibu ya mkeo yakiwa ya kipuuzi meanz kamuelewa msela ,toa taraka na ili usiwe na shaka nenda kempu kwa Chalii Oscar (CE) wa kikosi peleka hoja yako hapo atakusaidia kwa njia salama kabisa.
Sijajua mengi ila mke wako namuona kama chenga na huenda mwamba kaambiwa dem ni single so jimbo liko wazi
ui
[emoji23][emoji23][emoji23] HatariUkimgonga mkewe na mwanaye wa kike ukakamavu wote utaisha,utasikia msiba mwanajeshi ajitwanga risasi kisa mapenzi.
Okay thankyu..Wanajeshi ni vicheche mno ndo walioleta ukwimu hapa bongo kwa sana baada ya ile vita ya Kagera.
Ooh kuhonga ni kawaida somo la uvumilivu wamefaulu ,kutoa mshahara wote akala shoo siku moja ili ,ateseke 28 zilizobaki sio kesi kwao hivo mke kapagawa na hilo tu , kiufupi makamanda wote ni team misifaNope this is not my mode operandi.
Mimi nataka kujua behavior ya wajeda kwenye mahusiano. What do they do ? Wanahonga sana ? Au ? I just want to know this ili nijue natumia mbinu GANI kuicontain hiyo threat.
Hapa nafanya clandestine kujua what do these soldiers do to women when they are in love ILI nijue strength yao Ilipo kisha ni attack hiyo strength
Kama utaamua kuhonga zaidi yake pia utakua ni ujuha manake jimbo limeshachukuliwaOoh kuhonga ni kawaida somo la uvumilivu wamefaulu ,kutoa mshahara wote akala shoo siku moja ili ,ateseke 28 zilizobaki sio kesi kwao hivo mke kapagawa na hilo tu , kiufupi makamanda wote ni team misifa