Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

I wish kwenye hilo jopo la akina Kibatala na Lissu angekuwepo aisee.
 
We uko kama mzee Mpili au Haji Manara
 
Kibatala kampiga maswali jamaa alipata presha mpaka akasema anahisi haja ndogo apewe break
Kibatala: Shahidi nitakosea nikikuita kaka yangu? Shahidi : Hapana kwa sababu nimekuzidi umri, Kibatala : shahidi utakasirika ninapokuwa namtetea Mteja wangu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daaah wee Kibatala wewe....
 
Mkumbuke kati ya mashahidi wetu, tulimtaja Lengai Ole Sabaya na IGP Simon Nyakoro Sirro na watapaswa kufika mahakamani.

Wakigoma tutaomba kibali cha mahakama, waamrishwe kufika mahakamani.

Mwenzao leo kaomba brekii, aende haja ndogo kwanza.... Hivyo, wajiandae. Hatutanii..
 
Hanna haja ya sivii wengi wahawa ni "fomu foo feliazi" wakaanza ungaunga shule zakutafuta vyeti sio kuelimika!!
Pia kazizingine ukikilikili unapanda vyeo sio akili...ukatili!! Unamkumbuka ma ii taa nzee wa mahechijii
 
Karibu mkuu!Magufuli alifariki 17.03.2021.Alikuwa zaidi yako Kwa Roho.Lakini sasa hivi ardhi ya chato.Karibu sana
Kwani mama yako na baba yako hawajafa? Ardhini wote tunaenda huko. Acha kufikiri kinyumbu wewe mbw!
 
Ninachojua ni muislamu

Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
Ujinga huu kwhy siro na mabeyo wanna PhD Rudi shule dogo usitukane imani za watu
 
Police na Elimu ni vitu viwili tofauti haviendani

Police yoyote ni kama chekechea tu as long as ni police
 
Ninachojua ni muislamu

Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
Udini umeingiaje hapa
 
Huyi bwana, kwa namna tu alivyokuwa akijibu maswali, inaonekana uwezo wa akili yake (IQ), kama ilivyo kwa polisi wengi, ni mdogo sana. Amekaririshwa kwa karibu mwaka mzima lakini bado haikusaidia kitu.

Mara nyingi, watu wenye akili ndogo ndio huwa tayari kutumika kwa sababu uwezo wao wa kuona mambo huishia mita 2.
 
TUME IUNDWE NA MAMA..../

TUME IUNDWE HARAKA NA IENDE KUMCHUNGUZA VZR HUYU KURUTI....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…