Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

Anayejua Wasifu wa Ramadhan Kingai (ACP) atusaidie

RPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama Mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.

Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa Jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.

Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.

Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.

Lakini pia kesi hii ameanza kuichubguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?
Mpelelezi anateuliwa kulingana na aina na mazingira ya kesi
Kuna kundi la wapelelezi walipelekwa kusomea uchunguzi wa makosa ya ugaidi kwa ufadhili wa USA kingai yumo
Kwa hiyo hata angekua RCO Mtwara angeewa tu hilo faili
Muhimu ni kujikita kwenye utetezi sio kutafuta cv za mashahidi
 
RPC Kinondoni leo ni shahidi aliyesimama Mahakamani kutoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe na wenzake ya Ugaidi.

Katika kufuatilia cross examination kiongozi huyu wa Jeshi la Polisi amejichanganya sana na hivyo kushindwa kusimama kwa nafasi ya afisa mkubwa kwenye Jeshi na mchunguzi.

Yawezekana tatizo ni elimu au tatizo ni aina ya kesi ndiyo sababu ya yeye kubanwa mahakamani hadi wakati mwingine kupata gaidance ya Mahakama.

Ili tumfahamu vizuri kama ambavyo nchi nyingine ufanya, tunaomba tupate CV yake kuona kama kwenye criminal investigation huyu anaelewa au Basi kawekwa tu.

Lakini pia kesi hii ameanza kuichubguza akiwa Arusha wakati mazingira ya kesi yapo Kilimanjaro na Dar es Salaam, je huyu ndiye alionekana nafuu Kati ya ma RCO nchi nzima au kwanini yeye na si RCO Kilimanjaro Wala Dar?
Tupe kwanza CV yako tuone kwa elimu yako, kama una uwezo wa kuichambua CV ya RPC wa Kinondoni!
 
Mimi muwazi Polisi na najeshi wazingatie elimu na weledi tukiangalia Udini tu itakuuwa shida huyo alifikaje kuwa na cheo kikubwa hivyo wakati kichwani mweupe?
Wewe mpuuzi dini inahusikaje? Shenzi kabisa
 
Ha ha ha! Na huyo ndiye mpelelezi Mkuu wa hii case; what a joke! Yaani ushahidi wake ndio unategemewa kwa asilimia kubwa kumtia Mbowe hatiani! Ha ha ha! Kama mazuri vile!
Wewe mpuuzi dini inahusikaje hapo? Acha kuingiza upumbavu wako wa kidini kwenye hoja za msingi! Tangu mwanzo watu wanalalamika ukakasi wa kesi husika sasa dini inahusika vipi? Issue ni kukosa justifiable grounds haijalishi dini gani? Kama maswali hayajibiki, hata muabudu sanamu au muabudu msalaba au muabudu Mungu angechemka. Usihusishe dini na mambo ya hovyo.
 
Ninachojua ni muislamu

Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
Ubaguzi! Kuna waislamu wengi tu wamesoma sana na CV zao nzuri kuliko wewe! Wewe peke yako ungekuwa na CV yako iliyo bora kuliko mwisilamu yeyote, ungekuwa na haki kuandika uliyo andika. Lakini kwa sababu huna - basi unatumia chuki na ubaguzi kuchangia.
Chuki ya dini unayo instigate, it will hurt you - be careful!
 
Unatatizo na Uislam na Waislam Bro

Bora simama ktk lengo lako....mengine yawache
Unajua jamaa ni mdini mpaka anakera. Kugalagazwa mahakamani kwa jamhuri kwa kesi mbalimbali wala siyo jambo la kwanza na halina uhusiano na dini. Ukiangalia content za Yehodaya huyu Mkatoliki ni udini mtupu, hana lolote
 
Polisi ajirieni watu kwa elimu na kuwapandisha vyeo kwa elimu na weledi sio Udini tu ona sasa aibu hii mtu ana mivyeo kibao hata Hati ya mashtaka hakusoma inaasema nini msisikilize wanasiasa
IGP nae ni muislamu? Nadhani umekuwa na tatizo na waislamu kitambo kama si chuki iliyopitiliza. Wakati taifa linajengwa au umoja wa raia kutengenea watu wenye kauli na uono aina yako ni sumu. Yawezekana unasifiwa ila angalia aina ya sifa unazopewa zingine ni SIFA KIJINGA!! JE WASOMI WANGAPI WANAISIFIKA AMBAO SI WAISLAMU WAMEIINGIZA HII NCHI KWENYE MIKATABA YA KIBWEGE??? Jikite kwenye mada acha udini
 
Huyu si mkatoliki kwa mujibu wa chuki zake huyu ni miongoni mwa vibwetere wapayukaji
Unajua jamaa ni mdini mpaka anakera. Kugalagazwa mahakamani kwa jamhuri kwa kesi mbalimbali wala siyo jambo la kwanza na halina uhusiano na dini. Ukiangalia content za Yehodaya huyu Mkatoliki ni udini mtupu, hana lolote
 
Kama mwenyekiti wako mbowe alipiga zero na huchoki kumtetea humu we ni kilaza mkubwa

USSR
Elimu za bongo mbona yule ana ma PhD na ni waziri wa Tozo uwezo wake kichwani ni kama wa chekechea hakuna la maana atakalobuni kuhusu kodi na Nchi ikaendelea kumsikiliza yule jamaa hakuna tofauti za kile kipindi cha Ze comed...
 
Nasikia bwana kinga hadi mavi yakambana ikabidi aende kwanza kushusha mzigo ili arudi kuhojiwa vizuri
sijui kama hii pia itamsaidia mbowe,au ni furahisha ng'ombe tu.

yote kwa yote Mungu amsaidie.
 
Hiyo sura kwa sisi tuliopitia psychology anaonekana kabisa na mental case… he looks like mongolian idiot!!
Lusungo wewe kiboko aisee...mimi nimeshangaa sana ujue Mama aliwahi sema wana ushahidi na kesi ya Mbowe haonewi naona sasa atawaelewa manjagu alikua hawafahamu...
 
Ukishasikia tu Ramadhani, kumbuka hata uliosoma nao hakunaga Ramadhani mwenye akili
Daah mnatuua kweli Wazee mimi nadhani yeye sio kwa waislamu wote ukisema hivyo ina maana hiyo kesi walioandaa wote Waislamu hakuna Mkristo hata mmoja...
 
Ahaa kumbe jinsia ile!!! Kikubwa jitambue tu kibuti isiwe sababu ya chuki kwa wote.
Nikuusie mambo muhimu.
1. Usiwinde windo usiloweza kulila, wala usitunze chuki moyoni.
2. Dunia mapito kikubwa jichunguze sababu ni nini? au kasoro ni zipi unazo?
3. Tunza vema mazingira kwa kufyeka nyasi na kusafisha mitaro ili jirani asipate kero ya harufu mbaya.
4. Usihadaike na rangi ulikotoka panaweza kuwa pazuri kuliko ulikokimbilia maisha ndivyo yalivyo.
5. Ukiyashika 1-4 sala na maombi yako vitafanikiwa ila ukishupaza shingo mayowe na majuto havitokuachia nafasi. 😀 😀 😀
Jikite kwenye mada ili usizidi kukerwa nafsi bidada
 
Lusungo wewe kiboko aisee...mimi nimeshangaa sana ujue Mama aliwahi sema wana ushahidi na kesi ya Mbowe haonewi naona sasa atawaelewa manjagu alikua hawafahamu...
Watamuaibisha sana na nadhani jana ameanza kupata picha ya aibu ya taifa inayokuja!!
 
Ninachojua ni muislamu

Elimu sijui sababu waislamu wengi isipokuwa wachache huwa hawapendi elimu dunia ila wanataka haki Sawa kwenye ajira na vyeo ikiwemo Polisi wakati eimu hawana
Prof Lipumba Ni kafiri?
Pro SAFARI Ni kafiri?
Prof SHIVJI Ni kafiri?
Prof ASSAD Ni kafiri?
Prof JUMANNE MWENDA
Ni kafiri?
Suala siyo uislamu wa kingai Bali mashtaka na ushahidi utolewao ni wa kubumba.ALLAH japo Mbowe Ni kafiri ila msimamie katika haya mapito anayopita.
 
Back
Top Bottom