Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni mgongoni hiyo amekusudia maana inaonekana aliechomwa hakuwa anamu attack wapigane au kujihami labda kwa kumpiga...ni kama alikuwa anajipitia zake akamfuata hajui hili wala lile akamchomaHuyo mama atiwe nguvuni haraka mno kwa kujaribu kuua bila kukusudia.
Hospitali za Umma zina dawati la Polisi, hapo, hapo anapewa PF3Polisi kwanza, maana hawezi tibiwa wauguzi wengine roho ngumu wanamkataa bila pf3
Usihukumu kabla hujahukumiwa kwa sababu hata wewe una upumbavu mwingi ila watu wanakuvumilia tuUnaweza kuta huyu mpuuzi kamsumbua sana huyo mama mpaka amefikia hapo
Ooh okHospitali za Umma zina dawati la Polisi, hapo, hapo anapewa PF3
Siyo roho ngumu, ni utaratibu rasmi. Huwezi kumtibu mtu bila PF3, maana suala linaweza kukugeukia hadi hiyo kazi ukaona chungu.Polisi kwanza, maana hawezi tibiwa wauguzi wengine roho ngumu wanamkataa bila pf3
Daah bongo nyoso! Kamwaga kajikwaa au ulevi?, Life limebana ukimwaga biashara ya mtu anakutoa utumbo tu mtajuana mbele kwa mbele.Huyu jamaa kamwaga Supu na Maandazi hapa Buguruni Sheli muda huu, mama muuza supu kamchoma na kisu mgongoni.
Anayemjua aje amchukue
View attachment 3191636
Huyo ni Kenge mmoja kama weweUsihukumu kabla hujahukumiwa kwa sababu hata wewe una upumbavu mwingi ila watu wanakuvumilia tu
Taarifa zipi mkuu?Huu uzi haujaja na taarifa za kutosha. .
Taarifa kama jamaa kapona au kafarikiTaarifa zipi mkuu?
Mimi nilikuwa pale Buguruni Sheli nakula vitu vyangu kwa mama ntilie, kwa mbele nikaona zogo, baada ya kusogea pale ndiyo nakuta huo mkasa.
Mpaka naondoka pale Mwenyekiti alikuwa kashafika na walikuwa wanafanya mpango wa kumpeleka Hospitali