Pre GE2025 Anayemuelewa Tundu Lissu anachomaanisha kuhusu uchaguzi anieleweshe kila nikijitahidi kumuelewa naambulia sifuri

Pre GE2025 Anayemuelewa Tundu Lissu anachomaanisha kuhusu uchaguzi anieleweshe kila nikijitahidi kumuelewa naambulia sifuri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Anasisitiza kwamba no reform no election.

Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.

Utata unakuja namna hii.

Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?

Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
 
Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?

.."No reforms No election," maana yake ni bila mabadiliko, hakuna uchaguzi.
 
Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
C lazima umuelewe.
 
Usiamini sana kauli za vyama vya siasa au wanasiasa.Hizo ni porojo zamajukwaa zakupalilia kula yao.Zinaweza zikatumika nguvu nyingi sana kuhubiri hiyo kauli mbiu ila mambo yakaja kua tofauti kabisa.
 
Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
ni muhimu wananchi kuepuka vibaka na matapeli wa kisiasa kama hao,

afadhali vyama vya upinzani vimeshaanza kumstukia, kupuuza wito wa kuungana nae, na kumkana ni wazi huyo ni tapeli katika siasa :pedroP:

hataki mdahalo wala hataki uchaguzi na haijulikani anataka nini?
 
Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Ni Kwa sababu huna akili
 
.."No reforms No election" maana yake ni kususia uchaguzi.
Kama Watanzania wakiweza kuzuia uchaguzi, uchaguzi hautakuwepo, ili kususia uchaguzi ni lazima uchaguzi uwepo.

Swali ni, je, Watanzania wataweza kuzuia uchaguzi usifanyike?

Hili si suala la Tundu Lissu tu, ni suala ka Watanzania wote.
 
Kama Watanzania wakiweza kuzuia uchaguzi, uchaguzi hautakuwepo, ili kususia uchaguzi ni lazima uchaguzi uwepo.

Swali ni, je, Watanzania wataweza kuzuia uchaguzi usifanyike?

Hili si suala la Tundu Lissu tu, ni suala ka Watanzania wote.
Hii movement ya kuzuia uchaguzi lazima itafanikiwa maana lazima ihusishe Watanzania wote hadi waliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Hii movement ya kuzuia uchaguzi lazima itafanikiwa maana lazima ihusishe Watanzania wote hadi waliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
..kila mtu kwa nafasi yake atimize wajibu wake.

..Mwalimu, Nesi, Bwana shamba, Hakimu, Mkulima, Mvuvi, Mwanasheria,...wote kwa nafasi zetu tuhakikishe kama mabadiliko hayafanyiki, uchaguzi nao usifanyike.
 
Back
Top Bottom