Pre GE2025 Anayemuelewa Tundu Lissu anachomaanisha kuhusu uchaguzi anieleweshe kila nikijitahidi kumuelewa naambulia sifuri

Pre GE2025 Anayemuelewa Tundu Lissu anachomaanisha kuhusu uchaguzi anieleweshe kila nikijitahidi kumuelewa naambulia sifuri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sitaenda kulala barabarani, hata kwa mtutu.

I love you Lissu, but ukalale ww kumubarabara.

No reforms No Erections
Awalete na wale watoto wake wa marekani. Walau Mbowe aliandamana na binti yake aakamdhihaki sana akina Lissu kuwa hakua na usbawishi wowote na ni debe tupu!

Ni wakati wake Lissu kuonesha alichokua akiwabagaza wenzie kushindwa.
 
Kama huelewi na humwelewi, ni wazi kuwa una akili nzito kama za kenge ambaye yeye ili aelewe ni mpaka ale kipigo cha kumtoa damu masikioni...!

Tafsiri ya maneno peke yake ya NO REFORMS, NO ELECTION yanakupa maana ya moja kwa moja iliyowazi na kamili kabisa, ambayo ni IWAPO HAKUTAFANYIKA MABADILIKO YA KISHERIA NA KIKATIBA KUHUSU CHAGUZI ZETU, BASI MWAKA HUU HAKUTAFANYIKA UCHAGUZI KABISA KWA YEYOTE..!

Labda swali lako ambalo linge make sense kutuuliza hapa jukwaani ni: Hivi huyu Tundu Lissu na CHADEMA wanaweza vipi kuzuia uchaguzi usifanyike kwa wote? Watatumia njia na mbinu gani..?

Na mwisho wewe unataka wajiandae au kutangaza wagombea ILI IWEJE? WAENDE WAPI NA KUFANYA NINI? Hayo mabadiliko ya sheria za uchaguzi yamefanyika..?

Sikiliza bwana. CCM , CHADEMA na vyama vya siasa vingine na watu wengine wote, watashiriki na kuingia kwenye uchaguzi iwapo tu mabadiliko ya mifumo ya kusimamia na kuendesha chaguzi zetu tutaifanyia A COMPLETE OVERHAULING...!

But, as for now the agenda is: NO REFORMS, NO ELECTION. Kama huelewi, nenda kachukue fomu CCM ugombee udiwani hewa...!!

Kama hamuamini kuwa hakutakuwa na uchaguzi mwaka huu iwapo hakutakuwa na mabadiliko yanayotakiwa, basi subirini ili muone kwa macho yenu maana kwa sasa mnasikia tu...!!
Kingereza cha mwanasheria nguli Tundu Antipas Lissu hakieleweki kwa ngumbaru wengi wa lumumba na pia nimegundua wanasheria wengi especially waliopo serikalini na mahakimu baadhi wa mahakama zetu hawalielewi vizuri hili neno "HAKI".Nyakati hizi watafundishwa kwa vitendo essence ya neno HAKI(JUSTICE)ni nini!!!
 
Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Viongozi wa upinzani njaa inapowapiga mpaka kwenye UBONGO hakuna mwenye utubutu wa kususia uchaguzi. Wakati wa uchanguzi ndio msimu wa mavuno.NJAA HAINA BAUNSA
 
Kuna nadharia halafu kuna uhalisia.

Kiuhalisia Watanzania bado waoga sana.
Watanzania sio waoga,ila hawataki kutumikia matapeli wa kisiasa,Ninyi jitoe ufahamu,kila mtu ana haki ya kugombea,pale tungewaelewa.Lakini maswala ya eti nipitie chama au sacos huko hatuendi.
Ni bora mara bilioni kuishi na tawala tulizonazo kuliko akina Tshombe.
 
Awalete na wale watoto wake wa marekani. Walau Mbowe aliandamana na binti yake aakamdhihaki sana akina Lissu kuwa hakua na usbawishi wowote na ni debe tupu!

Ni wakati wake Lissu kuonesha alichokua akiwabagaza wenzie kushindwa.
Kama mwana CHADEMA, naona kama tunakosea sana.
Suala la kutaka Uraisi pekee kana kwamba ndio kila kitu kwenye uwanja wa Democracia(representation) ni uduwanzi.

Bunge litunge sheria; iwapo Chama cha Siasa hakikuweza kuwa na angalau 1% ya kura za LGE na wabunge watatu kutoka bunge la awali, wazuiwe kusimamisha Rais kwenye chaguzi. Kwa hilo tutaweka vipaumbele na nfuvu kwwnye chaguzi zote na sio Uraisi tyu

Reforms ihusishe na reforms kwenye strategies tunazotumia, tunaweza simama kidete.

No reforms No Erections
 
Watanzania sio waoga,ila hawataki kutumikia matapeli wa kisiasa,Ninyi jitoe ufahamu,kila mtu ana haki ya kugombea,pale tungewaelewa.Lakini maswala ya eti nipitie chama au sacos huko hatuendi.
Ni bora mara bilioni kuishi na tawala tulizonazo kuliko akina Tshombe.
Kama kila mtu ana haki ya kugombea , Kwa nini ma-ccm huwa mnaiba kura?
Mwizi wa kura ni mwizi kama mwizi mwingine aliyeiba kuku or whatever na hii yote ni dhambi kwa Mwenyezi-Mungu.
 
Kama kila mtu ana haki ya kugombea , Kwa nini ma-ccm huwa mnaiba kura?
Mwizi wa kura ni mwizi kama mwizi mwingine aliyeiba kuku or whatever na hii yote ni dhambi kwa Mwenyezi-Mungu.
Hakuna uthibitisho kama CCM wanaiba kura ila Kuna uthibitisho CCM kushinda kwa kishindo
 
Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Tatizo umejizima data
 
Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Wananchi wakimuelewa uchaguzi hautafanyika. Tunapiga kura ili iwaje?
 
Kama kila mtu ana haki ya kugombea , Kwa nini ma-ccm huwa mnaiba kura?
Mwizi wa kura ni mwizi kama mwizi mwingine aliyeiba kuku or whatever na hii yote ni dhambi kwa Mwenyezi-Mungu.
Mkuu huna hoja,2 wrongs dont make right.
Ina maana badala ya kupunguza uzwaza wa matumizi wa kodi zetu nanyi mnataka kula bila kunawa. NONSENSE.
 
Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Sasa Mkuu, yeye mwenyewe haelewi anaongea nini na anamaanisha nini. Wewe utamuelewa kweli?

Mfano mwingine. Kabla ya kuwa Mwenyekiti alikuwa analalamika ya kwamba Mbowe kafanya maridhiano na Rais Samia na yalikuwa ni makosa. Leo kawa Mwenyekiti anasema anataka kuongea na Rais Samia!!!

Wewe unaweza kumuelewa mtu kama huyo?
 
Watanzania sio waoga,ila hawataki kutumikia matapeli wa kisiasa,Ninyi jitoe ufahamu,kila mtu ana haki ya kugombea,pale tungewaelewa.Lakini maswala ya eti nipitie chama au sacos huko hatuendi.
Ni bora mara bilioni kuishi na tawala tulizonazo kuliko akina Tshombe.
Sasa wanavyoibiwa chaguzi kila mara bila kupinga napo si uoga?

Walipokatazwa kufanya mikutano ya hadhara ambayo imeruhusiwa kikatiba wakakaa kimya napo si uoga?
 
Lissu itabidi aibadilishe hiyo kauli yake kwa sababu inaeleweka kivingine kabisa na inatafsirika vibaya.

Utazuiaje uchaguzi kufanyika?

Wrong message.

He needs a messaging coach.
 
Back
Top Bottom