Pre GE2025 Anayemuelewa Tundu Lissu anachomaanisha kuhusu uchaguzi anieleweshe kila nikijitahidi kumuelewa naambulia sifuri

Pre GE2025 Anayemuelewa Tundu Lissu anachomaanisha kuhusu uchaguzi anieleweshe kila nikijitahidi kumuelewa naambulia sifuri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nilikiwa najiuliza,kwamfano akishindwa kuzuia uchaguzi usifanyike je atashiriki? This is actually controversial! Nazani hoja yake ni nzuri lakini haitoi alternative
Atazuiaje uchaguzi wakati upo kisheria?

Hiyo kauli yake kwa sasa si muafaka!

Namwelewa vizuri tu ila anakosea kusema watauzuia.

Kuuzuia uchaguzi usifanyike kunaleta picha tofauti kabisa akilini mwa watu.

Asipobadili namna ya kuuwasilisha huo ujumbe wake, zoezi zima litafeli vibaya sana.

CHADEMA ingewapasa wawe wanazi focus-group hizo kauli mbiu kabla hawajaanza kuzitumia mbele ya umma.
 
Maydhui hayako bayana kwenye dhana hii it is confusing no reform no election haieleweki kwa mtu wa kawaida. Message ambigious and hanging.Angesema" hakuna reform hakuna uchaguzi wa kweli" itakuwa gheresha tu. hii ingeeleweka
 
Kama kila mtu ana haki ya kugombea , Kwa nini ma-ccm huwa mnaiba kura?
Mwizi wa kura ni mwizi kama mwizi mwingine aliyeiba kuku or whatever na hii yote ni dhambi kwa Mwenyezi-Mungu.
Kwahiyo tuongeze wajanja wengine?
Two wrongs don't make right.
 
.."No reforms No election," maana yake ni bila mabadiliko, hakuna uchaguzi.
Kabisa... Bila mabadiliko hakuna uchaguzi bali kuna uchafuzi!
Wengi hawaelewi! Bila reforms kufanyika uchafuzi utaendelea!
 
Maydhui hayako bayana kwenye dhana hii it is confusing no reform no election haieleweki kwa mtu wa kawaida. Message ambigious and hanging.Angesema" hakuna reform hakuna uchaguzi wa kweli" itakuwa gheresha tu. hii ingeeleweka
Ni hivyo hivyo! Bila mabadiliko hakuna uchaguzi!
Uzoefu unaonesha hivyo... Mwenye masikio na asikie!
 
Ni hivyo hivyo! Bila mabadiliko hakuna uchaguzi!
Uzoefu unaonesha hivyo... Mwenye masikio na asikie!
Sawa kwa kauli hii ni ipi nafasi ya wanachadema waliojipanga kugombea uchaguzi huu waendeleaje na jalamba au wasubirie reform na tukulie reform ikashindikana wanawaweka katika hali gani wanachadema waliojipanga kwa nafasi mbali mbali
 
Kama huelewi na humwelewi, ni wazi kuwa una akili nzito kama za kenge ambaye yeye ili aelewe ni mpaka ale kipigo cha kumtoa damu masikioni...!

Tafsiri ya maneno peke yake ya NO REFORMS, NO ELECTION yanakupa maana ya moja kwa moja iliyowazi na kamili kabisa, ambayo ni IWAPO HAKUTAFANYIKA MABADILIKO YA KISHERIA NA KIKATIBA KUHUSU CHAGUZI ZETU, BASI MWAKA HUU HAKUTAFANYIKA UCHAGUZI KABISA KWA YEYOTE..!

Labda swali lako ambalo linge make sense kutuuliza hapa jukwaani ni: Hivi huyu Tundu Lissu na CHADEMA wanaweza vipi kuzuia uchaguzi usifanyike kwa wote? Watatumia njia na mbinu gani..?

Na mwisho wewe unataka wajiandae au kutangaza wagombea ILI IWEJE? WAENDE WAPI NA KUFANYA NINI? Hayo mabadiliko ya sheria za uchaguzi yamefanyika..?

Sikiliza bwana, kama wewe unajifanya mwendawazimu uliyerukwa na akili za kukufanya uelewe mambo rahisi hasa, basi mwambie mkeo akueleweshe kwa lugha yenu kuwa...

Si CCM , CHADEMA wala vyama vingine vya siasa ama watu wengine wowote, watashiriki na kuingia kwenye uchaguzi iwe mwaka huu 2025 au 2026 au wakati wowote iwapo hatutakaa chini wote kwa pamoja kama nchi na taifa ili kufanya mabadiliko [A COMPLETE OVERHAULING] ya mifumo ya kusimamia na kuendesha chaguzi zetu tutaifanyia...

But, as for now the agenda is: NO REFORMS, NO ELECTION. Kama huelewi, nenda kachukue fomu CCM ugombee udiwani hewa...!!

Kama hamuamini kuwa hakutakuwa na uchaguzi mwaka huu iwapo hakutakuwa na mabadiliko yanayotakiwa, basi subirini ili muone kwa macho yenu maana kwa sasa mnasikia tu...!!
Asante sana mke wangu ila baada ya October uje tena uupitie Uzi wako
 
Hakuna uthibitisho kama CCM wanaiba kura ila Kuna uthibitisho CCM kushinda kwa kishindo
Msilete ushabiki wa kivyama kwenye hoja nzito ccm hushinda kwa kutumia mipango na mikakati myeusi tii.
Isipokuwa naona huyu Lisu katika nia yake ya kuikabili hiyo mipango myeusi anaingia chakani zaidi
 
Shida Kubwa nyie watu mnajiita teak Mbowe na hilo litawaumiza sana ni tabia yenu kuwaza kwamba nyie tu mlistahili kuongoza Chama chenu huo ni ukichaa..
 
Hatususii uchaguzi kwa maana ya kwamba wengine waende kwenye uchaguzi wengine wasiende.. Ni kwamba hakutakuwa na uchaguzi kabisa kwa yeyote yule bila mabadiliko tajwa
Huo ni msimamo wenu CHADEMA nina uhakika hauna uhusiano na vyama vingine vyenye utayari wa kuingia kwenye uchaguzi mkuu.
 
Hii movement ya kuzuia uchaguzi lazima itafanikiwa maana lazima ihusishe Watanzania wote hadi waliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Labda vyombo vya ulinzi na usalama vya humu ndani JamiiForum huko kwenye maisha mengine mambo ni tofauti kabisa na hii mitazamo.
 
Sawa kwa kauli hii ni ipi nafasi ya wanachadema waliojipanga kugombea uchaguzi huu waendeleaje na jalamba au wasubirie reform na tukulie reform ikashindikana wanawaweka katika hali gani wanachadema waliojipanga kwa nafasi mbali mbali
Lissu anachojaribu kuieleza dunia ni kwamba bila mabadiliko kitakachofanyika si uchaguzi
 
Hatususii uchaguzi kwa maana ya kwamba wengine waende kwenye uchaguzi wengine wasiende.. Ni kwamba hakutakuwa na uchaguzi kabisa kwa yeyote yule bila mabadiliko tajwa
yaaani mnachekesha nyie vilaza kwakweli yaaani mnauzuiaje huo uchaguzi ? semeni hamjajiandaaa kuingia kwenye uchaguzi wenzenu wanashiriki yaani nyie ndezi wawili watatu ndiyo mzuie uchaguzi nchi imekuwa ya kwenu pekeyenu au? au mnadhani kila mtu ni chadema?
 
Shida Kubwa nyie watu mnajiita teak Mbowe na hilo litawaumiza sana ni tabia yenu kuwaza kwamba nyie tu mlistahili kuongoza Chama chenu huo ni ukichaa..
Tatizo akili zako zimegandia mahali badala ya kujadili hoja wwe unaleta ushabiki kwani nani kamtaja Mbowe hapa au ulilala kwake leo!?
 
Hii movement ya kuzuia uchaguzi lazima itafanikiwa maana lazima ihusishe Watanzania wote hadi waliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
inafanikiwa vipi kwani umeambiwa watanzania wote ni chadema au wote wanapenda chadema?wengine hayo mnayoyataka sisi hayatuhusu tumeridhika na hali hii unatulazimishaje tukatae uchaguzi?
 
Anasisitiza kwamba no reform no election.

Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.

Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.

Utata unakuja namna hii.

Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?

Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Wewe akili zipo
 
Kama Watanzania wakiweza kuzuia uchaguzi, uchaguzi hautakuwepo, ili kususia uchaguzi ni lazima uchaguzi uwepo.

Swali ni, je, Watanzania wataweza kuzuia uchaguzi usifanyike?

Hili si suala la Tundu Lissu tu, ni suala ka Watanzania wote.
aliyekuambia watanzania wote wapo kwenye mlengo wa lissu nani ? ndiyo maana kuna chadema na ccm tena ccm ni wengi unawashindaje sasa?
 
Back
Top Bottom