Awalete na wale watoto wake wa marekani. Walau Mbowe aliandamana na binti yake aakamdhihaki sana akina Lissu kuwa hakua na usbawishi wowote na ni debe tupu!Sitaenda kulala barabarani, hata kwa mtutu.
I love you Lissu, but ukalale ww kumubarabara.
No reforms No Erections
Kingereza cha mwanasheria nguli Tundu Antipas Lissu hakieleweki kwa ngumbaru wengi wa lumumba na pia nimegundua wanasheria wengi especially waliopo serikalini na mahakimu baadhi wa mahakama zetu hawalielewi vizuri hili neno "HAKI".Nyakati hizi watafundishwa kwa vitendo essence ya neno HAKI(JUSTICE)ni nini!!!Kama huelewi na humwelewi, ni wazi kuwa una akili nzito kama za kenge ambaye yeye ili aelewe ni mpaka ale kipigo cha kumtoa damu masikioni...!
Tafsiri ya maneno peke yake ya NO REFORMS, NO ELECTION yanakupa maana ya moja kwa moja iliyowazi na kamili kabisa, ambayo ni IWAPO HAKUTAFANYIKA MABADILIKO YA KISHERIA NA KIKATIBA KUHUSU CHAGUZI ZETU, BASI MWAKA HUU HAKUTAFANYIKA UCHAGUZI KABISA KWA YEYOTE..!
Labda swali lako ambalo linge make sense kutuuliza hapa jukwaani ni: Hivi huyu Tundu Lissu na CHADEMA wanaweza vipi kuzuia uchaguzi usifanyike kwa wote? Watatumia njia na mbinu gani..?
Na mwisho wewe unataka wajiandae au kutangaza wagombea ILI IWEJE? WAENDE WAPI NA KUFANYA NINI? Hayo mabadiliko ya sheria za uchaguzi yamefanyika..?
Sikiliza bwana. CCM , CHADEMA na vyama vya siasa vingine na watu wengine wote, watashiriki na kuingia kwenye uchaguzi iwapo tu mabadiliko ya mifumo ya kusimamia na kuendesha chaguzi zetu tutaifanyia A COMPLETE OVERHAULING...!
But, as for now the agenda is: NO REFORMS, NO ELECTION. Kama huelewi, nenda kachukue fomu CCM ugombee udiwani hewa...!!
Kama hamuamini kuwa hakutakuwa na uchaguzi mwaka huu iwapo hakutakuwa na mabadiliko yanayotakiwa, basi subirini ili muone kwa macho yenu maana kwa sasa mnasikia tu...!!
Viongozi wa upinzani njaa inapowapiga mpaka kwenye UBONGO hakuna mwenye utubutu wa kususia uchaguzi. Wakati wa uchanguzi ndio msimu wa mavuno.NJAA HAINA BAUNSAAnasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.
Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
HakikaSiyo kwamba Umeamua kujizima data tu!?
Watanzania sio waoga,ila hawataki kutumikia matapeli wa kisiasa,Ninyi jitoe ufahamu,kila mtu ana haki ya kugombea,pale tungewaelewa.Lakini maswala ya eti nipitie chama au sacos huko hatuendi.Kuna nadharia halafu kuna uhalisia.
Kiuhalisia Watanzania bado waoga sana.
Kama mwana CHADEMA, naona kama tunakosea sana.Awalete na wale watoto wake wa marekani. Walau Mbowe aliandamana na binti yake aakamdhihaki sana akina Lissu kuwa hakua na usbawishi wowote na ni debe tupu!
Ni wakati wake Lissu kuonesha alichokua akiwabagaza wenzie kushindwa.
yes,Umesema tuepuke vibaka na matapeli wa kisiasa
Kama kila mtu ana haki ya kugombea , Kwa nini ma-ccm huwa mnaiba kura?Watanzania sio waoga,ila hawataki kutumikia matapeli wa kisiasa,Ninyi jitoe ufahamu,kila mtu ana haki ya kugombea,pale tungewaelewa.Lakini maswala ya eti nipitie chama au sacos huko hatuendi.
Ni bora mara bilioni kuishi na tawala tulizonazo kuliko akina Tshombe.
Hakuna uthibitisho kama CCM wanaiba kura ila Kuna uthibitisho CCM kushinda kwa kishindoKama kila mtu ana haki ya kugombea , Kwa nini ma-ccm huwa mnaiba kura?
Mwizi wa kura ni mwizi kama mwizi mwingine aliyeiba kuku or whatever na hii yote ni dhambi kwa Mwenyezi-Mungu.
Tatizo umejizima dataAnasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.
Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Wananchi wakimuelewa uchaguzi hautafanyika. Tunapiga kura ili iwaje?Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.
Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Mkuu huna hoja,2 wrongs dont make right.Kama kila mtu ana haki ya kugombea , Kwa nini ma-ccm huwa mnaiba kura?
Mwizi wa kura ni mwizi kama mwizi mwingine aliyeiba kuku or whatever na hii yote ni dhambi kwa Mwenyezi-Mungu.
Sasa Mkuu, yeye mwenyewe haelewi anaongea nini na anamaanisha nini. Wewe utamuelewa kweli?Anasisitiza kwamba no reform no election.
Akiulizwa mtasusia uchaguzi? Anakataa kwa nguvu zote kwamba chadema haiko tayari kususia uchaguzi.
Akiulizwa ni lini mtatangaza jina la mgombea wenu, anasema huwezi kuendelea kutangaza mgombea wakati umesema no reform no election.
Utata unakuja namna hii.
Siku zimesonga sana na mda ni mfupi sana sasa ni lini huyu mheshimiwa ataanza kuizuia serikali isiendelee na michakato ya uchaguzi?
Ni reference gani anayo inamhakikishia kuwa na ubavu wa kuzuia uchaguzi?
Watashiriki katika namna ya kufanya uchaguzi usifanyike yaani udumaeNdio haimaanishi kususia kwa hiyo anamaanisha nn
Maana yake hakutakuwa na uchaguzi,mbona lugha nyepesi tu hii..."No reforms No election" maana yake ni kususia uchaguzi.
Sasa wanavyoibiwa chaguzi kila mara bila kupinga napo si uoga?Watanzania sio waoga,ila hawataki kutumikia matapeli wa kisiasa,Ninyi jitoe ufahamu,kila mtu ana haki ya kugombea,pale tungewaelewa.Lakini maswala ya eti nipitie chama au sacos huko hatuendi.
Ni bora mara bilioni kuishi na tawala tulizonazo kuliko akina Tshombe.