Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Mimi sio mwenzako hunijui na sikujuiSina akili ndio, wewe mwenye akili, unalumbana vipi na watu wasio na akili? Hitimisho:- wewe pia ni mwenzetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mwenzako hunijui na sikujuiSina akili ndio, wewe mwenye akili, unalumbana vipi na watu wasio na akili? Hitimisho:- wewe pia ni mwenzetu.
Wewe ni Mafwele mla nyama za watuMimi sio mwenzako hunijui na sikujui
Unakubalije kuliwa nyamaWewe ni Mafwele mla nyama za watu
Wewe ni mjinga, uliyekosa ufahamu. Hivi Urais wa Samia una thamani kuliko uhai wa watu wanaorekwa na kuuawa? Rais anaweza kupatikana mwingine. Alikuwa Mwalimu Nyerere, Akaja Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Samia, watakuja na wengine wengi, LAKINI uhai unaokatizwa na mashetani yaliyopo ndani ya Serikalini yake, Samia ana uwezo wa kurudisha japo wa mtu mmoja?Maandamano ya kumlazimisha Samia aachie office ni uhaini, polisi Kwa namna yoyote wasiruhusu hawa wahuni kuingia road, Samia yupo Kwa mujibu wa katiba na ataachia office Kwa mujibu wa katiba na si Kwa maandamano.
Ukute huyu ndio tank thinker wa task force yao.Je, Wananchi sisi tunakubali haya yaendelee?
- Haya ni maandamano kwa minajili ya kutetea haki ya kuishi.
- Polisi na vyombo vya dola wametuhumiwa kushiriki utekaji na mauaji ya raia
- Serikali imeonesha uzembe mkubwa kulinda maisha ya watanzania
- Bunge limegoma kujadili na kuihoji serikali kilio cha wananchi cha utekaji na mauaji ya raia
- CHADEMA wameibeba agenda hii kwa niaba ya Watanzaia, wameileta kwetu Watanzania bila kujali itikadi, imani na ukabila.
Pia soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Yeyote anayepinga ama kukwepa haya maandamano, tunamuelewa kwamba anaunga mkono utekaji na mauaji dhidi ya raia.
Samia Must Go
Namna yoyote ya kupinga maandamano ni kwa kuweka wazi watekaji na wauaji. Kupinga maandamano bila kuwaweka wazi watekaji na wauaji ni kuwaunga mkono. Wananchi lazima wayatetee maisha yao kwa gharama yoyote ili. KIONGOZI ASIYELINDA MAISHA YA WANANCHI WAKE MUST GO!Je, Wananchi sisi tunakubali haya yaendelee?
- Haya ni maandamano kwa minajili ya kutetea haki ya kuishi.
- Polisi na vyombo vya dola wametuhumiwa kushiriki utekaji na mauaji ya raia
- Serikali imeonesha uzembe mkubwa kulinda maisha ya watanzania
- Bunge limegoma kujadili na kuihoji serikali kilio cha wananchi cha utekaji na mauaji ya raia
- CHADEMA wameibeba agenda hii kwa niaba ya Watanzaia, wameileta kwetu Watanzania bila kujali itikadi, imani na ukabila.
Pia soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Yeyote anayepinga ama kukwepa haya maandamano, tunamuelewa kwamba anaunga mkono utekaji na mauaji dhidi ya raia.
Samia Must Go
7mefanya nini kukomesha ama kuzuia utekaji na mauaji mpaka sasa?Siungi mkono utekaji/mauaji, na wala siungi mkono maandamano!
Mtazamo wako wa kutuweka kwenye makundi mawili peke yake ni finyu. Usitufanye sote kuwa tunafikiria kama wewe, wengine tunaweza kufikiria nje ya box 📦
Muungaji mkono wa utekaji na mauaji ya raia umehesabikaMaandamano ya kumlazimisha Samia aachie office ni uhaini, polisi Kwa namna yoyote wasiruhusu hawa wahuni kuingia road, Samia yupo Kwa mujibu wa katiba na ataachia office Kwa mujibu wa katiba na si Kwa maandamano.
Uoga wa kupigwa risasi,watanzania hatukuzoea!Je, Wananchi sisi tunakubali haya yaendelee?
- Haya ni maandamano kwa minajili ya kutetea haki ya kuishi.
- Polisi na vyombo vya dola wametuhumiwa kushiriki utekaji na mauaji ya raia
- Serikali imeonesha uzembe mkubwa kulinda maisha ya watanzania
- Bunge limegoma kujadili na kuihoji serikali kilio cha wananchi cha utekaji na mauaji ya raia
- CHADEMA wameibeba agenda hii kwa niaba ya Watanzaia, wameileta kwetu Watanzania bila kujali itikadi, imani na ukabila.
Pia soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Yeyote anayepinga ama kukwepa haya maandamano, tunamuelewa kwamba anaunga mkono utekaji na mauaji dhidi ya raia.
Samia Must Go
Ni kwa sababu wewe ni familia ya watekaji na mauaji ya raia ndo maana hoja yako inadharau maisha ya watu kws sababu za kisiasa.Kweli mbona kutekwa upande mmoja tu ? Kama CDM kwa nini linakuwa jambo ls Taifa ?? Ni siasa??
Umasikini mbaya sana,afadhali hata ukimwi!Nchi hii watawala walishawaona watz 90%ni maskini,wabangaizaji,koo maskini,Hana uhakika na kesho kutwa yake.
Elimu Duni isiyona ushindani kimataifa,inayopelekea anapopata ajira iwe serikalin au seckta binafsi inamlazimu kunyenyekea hata kama bosi wake ni ngumbalo.Maana anategemewa na ndugu zake kibao.Ukimgusia maandamano,anakwambia na familia yangu je.
Anasahau kuwa,maisha Bora,uhuru na kusikilizwa na uwajibikaji ndo msingi wa familia Bora.
Ccm must go
Kwani umeshikwa?Kwani umewahi wapi kuona hata kuku akihiyari kuliwa nyama akiwa hai?
Mafwele tuache kwanza