King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Nadhani we ndo mpuuzi, hivi kila mtu akitekwa rais aachie office si kila mwaka tutakuwa tunabadili rais? Hivi unajua gharama za kumpata kiongozi we bawacha?Wewe ni mjinga, uliyekosa ufahamu. Hivi Urais wa Samia una thamani kuliko uhai wa watu wanaorekwa na kuuawa? Rais anaweza kupatikana mwingine. Alikuwa Mwalimu Nyerere, Akaja Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Samia, watakuja na wengine wengi, LAKINI uhai unaokatizwa na mashetani yaliyopo ndani ya Serikalini yake, Samia ana uwezo wa kurudisha japo wa mtu mmoja?
Tuna watanzania wengi ambao wana uwezo wa kuwa marais LAKINI hatuna hata mmoja mwenye uwezo wa kurudisha hata uhai wa sisimizi mmoja, ukishapotezwa.