Anayepinga maandamano ya 23/09 anaunga utekaji na mauaji ya raia

Anayepinga maandamano ya 23/09 anaunga utekaji na mauaji ya raia

Kule M 23 huku S 23.....akili moja hiyo....

TREASON inanukia......
Mtasema kila kitu hapo.

Majeshi mnayo
Silaha zote mnazo
Sheria mmejitungia.

Mbona mna hofu kubwa na raia wanaotafuta haki yao ya kuishi?
 
Hayatafanyika
Hayataleta manufaa
Watanzania wengi wajinga

Maandamano yalipaswa yasiwe yanahusiana na chama cha siasa
Bila chama cha siasa ni vigumu wananchi kutoa maoni yao yakasikika.

Wewe waite watanzania wajinga, badp haujaelewa kuwa Tanzania ni mali ya Watanzania
 
Mtasema kila kitu hapo.

Majeshi mnayo
Silaha zote mnazo
Sheria mmejitungia.

Mbona mna hofu kubwa na raia wanaotafuta haki yao ya kuishi?
Unakuza mambo.....

Raia wamejazana mitaani wanaangalia mechi ya Simba kwa amani na utulivu....

Unazungumzia raia wa Sudan ?!! 😲
 
Unakuza mambo.....

Raia wamejazana mitaani wanaangalia mechi ya Simba kwa amani na utulivu....

Unazungumzia raia wa Sudan ?!! 😲
Hauna hoja

Unapambana kuzuia mafuriko kwa mikono
 
Hauna hoja

Unapambana kuzuia mafuriko kwa mikono
Vioja vya yaitwayo mafuriko ya fikrani......

Jana Rodney Mbowe kaonekana akipanda ndege kwenda Qatar kula bata.....

Mbona kila yakikaribia hayo maandamano si tu hashiriki bali anasafiri/wanasafiri ?!! 🤣🤣
 
When we lose fear, they lose their power tukutane tarehe 23 mapema sana. Beba chupa ya maji, kitambaa na filimbi. Imeisha hiyo
 
  1. Haya ni maandamano kwa minajili ya kutetea haki ya kuishi.
  2. Polisi na vyombo vya dola wametuhumiwa kushiriki utekaji na mauaji ya raia
  3. Serikali imeonesha uzembe mkubwa kulinda maisha ya watanzania
  4. Bunge limegoma kujadili na kuihoji serikali kilio cha wananchi cha utekaji na mauaji ya raia
  5. CHADEMA wameibeba agenda hii kwa niaba ya Watanzaia, wameileta kwetu Watanzania bila kujali itikadi, imani na ukabila.
Je, Wananchi sisi tunakubali haya yaendelee?

Pia soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

Yeyote anayepinga ama kukwepa haya maandamano, tunamuelewa kwamba anaunga mkono utekaji na mauaji dhidi ya raia.


Samia Must Go
Mbona wamekuwa wakiandamana na hapakuwa na shida? Kwa vile mimi ni mdau wa sheria na haki za binadamu sioni shida hata kidogo watu kuandamana kwa amani. In fact, huwa naona shida wanapozuiwa kinyume cha sheria zinazovyosema.
 
Arudi uraiani ili tumpe Mtanzania mwingine nafasi ya uongozi ws Taifa hili
Sasa anaung'ang'ania uongozi kwa vitisho; kuteka na kuua raia. Ndilo tegemeo pekee sssa analolitazamia kumvusha 2025.
 
Wewe unazo sababu zako nyingine za kuwapa ahueni hao hao watekaji na wauaji. Kila mtu anaibuka na visababu vyake vya uongo na kweli, ali mradi mambo yaendelee kama yalivyo.
Nyie ndy wapinga QURUJUAN sasa,
Ila mkitaka kweli yawakute hao wasiojulikana basi isomwe dua ya kuwalaani.
Mengine yote ni sarakasi tu..

Nyerere alipopelekwa kusomewa QURUJUAN bagamoyo kwa shehe Ramia wakati wa harakati za kutafuta uhuru wetu watanganyika kwani unadhani lengo ni nini?
QURUJUAN haichaguwi wa kumpata bali itatafuta wahusika ,,
Kama yupo huko kwenu au upande wa pili.
 
Back
Top Bottom