Nenda pale kwa Tesha lete hapo bia kreti 10 na soda kreti 6Moshi ni pagumu kuanza biashara. Ila watu wakiisha kufahamu na ukaunda urafiki nao biashara inakuwa ni nzuri. Watu wanajenga mazoea ya kununua kitu kwa fulani. Hivyo mpaka ujenge jina na kuaminika. Na utasikia watu wakimtaja mtu zaidi kuliko jina la biashara yake.
Hivyo kama ndio unaanza inabidi uwe mvumilivu na utoe huduma ya uhakika kufikia kuaminiwa na kutambulika.
shida inakuja kuwa waliobaki moshi kuna umaskini mkubwa wa kutupwa kule ajira hamna hata ya kuchoma tu mishikaki!! inabidi wakimbie waende mikoa mingine kuajiriwa kazi ya kuchoma mishikaki grocery ya mangi mwenzao ,Na wakishafika mikoa mingine wakajenga vitega uchumi vikubwa mahoteli ya nguvu nk hawarudi tena kuwekeza moshi .Mikodi mikubwa kuanzia ya manispaa inalipwa huko walikowekeza mikoa mingine kwao moshi mgambo wanakuwa kazi kukimbizana na akina mama wauza nyanya na vitunguu vya mafungu na watembeza matunda kuuzia wasafiri stendi kuu koo ya mabasi moshi mjini!!!!Mchagga sio mjinga auze ardhi yake kipuuzi.
Kama yeye kashindwa kuwekeza basi mtoto au mjukuu wake ataikuta awekeze..
Nyie panueni miji yenu wala hakuna taabu
Hapo tu kwenye population ni uhuni na uongo unaongea..shida inakuja kuwa waliobaki moshi kuna umaskini mkubwa wa kutupwa kule ajira hamna hata ya kuchoma tu mishikaki!! inabidi wakimbie waende mikoa mingine kuajiriwa kazi ya kuchoma mishikaki grocery ya mangi mwenzao ,Na wakishafika mikoa mingine wakajenga vitega uchumi vikubwa mahoteli ya nguvu nk hawarudi tena kuwekeza moshi .Mikodi mikubwa kuanzia ya manispaa inalipwa huko walikowekeza mikoa mingine kwao moshi mgambowanakiwa kukimbizana na akina mama wauza nyanya na vitunguu vya mafungu na watembeza matunda kuuzia wasafiri stendi kuu koo ya mabasi moshi mjini!!!!
vizaz vingi vimepita tend ni hiyo hiyo.Kwa hiyo unategemea mjukuu aje kuwekeza Moshi mahali ambapo population haiongezeki inapungua siku hadi siku kwa kuhamia mikoa mingine kutafuta riziki?
Trend ya population ya moshi ni exodus sio indus ,WEngi wanatimua sio wanaingia!!! na wakishajijenga hata wakifa watoto na wajukuu watabaki kusimamia vitega uchumi vya wazazi vilivyoko mikoa hiyo waliko wazazi
Umeongea point wanarudi kuzika tu tena wakikaa sana siku tatushida inakuja kuwa waliobaki moshi kuna umaskini mkubwa wa kutupwa kule ajira hamna hata ya kuchoma tu mishikaki!! inabidi wakimbie waende mikoa mingine kuajiriwa kazi ya kuchoma mishikaki grocery ya mangi mwenzao ,Na wakishafika mikoa mingine wakajenga vitega uchumi vikubwa mahoteli ya nguvu nk hawarudi tena kuwekeza moshi .Mikodi mikubwa kuanzia ya manispaa inalipwa huko walikowekeza mikoa mingine kwao moshi mgambowanakiwa kukimbizana na akina mama wauza nyanya na vitunguu vya mafungu na watembeza matunda kuuzia wasafiri stendi kuu koo ya mabasi moshi mjini!!!!
vizaz vingi vimepita tend ni hiyo hiyo.Kwa hiyo unategemea mjukuu aje kuwekeza Moshi mahali ambapo population haiongezeki inapungua siku hadi siku kwa kuhamia mikoa mingine kutafuta riziki?
Trend ya population ya moshi ni exodus sio indus ,WEngi wanatimua sio wanaingia!!! na wakishajijenga hata wakifa watoto na wajukuu watabaki kusimamia vitega uchumi vya wazazi vilivyoko mikoa hiyo waliko wazazi
Sasa kwanini wasiwekeze zaidi kwao ambako ardhi iko tele, wanasifika kwa biashara na uwekezaji miji ya watu ilhali miji yao ni halijojo aisee inashangaza sana.N i kweli miji wasio wabinafsi inakua kwa spidi ya hatari
Mfano mzuri Dar es salaam .Wazaramo hawana shida ukitaka ardhi hiyo hapo anakuuzia chap chap yeye huyo anahamia porini.Mwenye pesa mpishe,Mji ukipanuka ukimfikia ukitaka kumnunua hana shida lete pesa mapori bado yako kibao anakuuzia huyo anaenda sehemu ingine anajenga anasema mimi hapa nakalia nini kwa maisha gani niliyonayo lete hizo milioni 50 niangalie mbele kwa mbele!! Hivyo unakuta jiji linapanuka kwa spidi ya 5G .Na fursa kibao zinafunguka
Lakini ardhi nyingi moshi hazina uwekezaji cha maana kilichoko kwenye hizo ardhi wanachokithamini sana ni makaburi tu .Otherwise ni useless land ambayo sehemu kubwa ina uhusiano tu na mortuary kubeba wachaga kwenda kuzika na nyumba tu za kuishi zinazotumika tu kipindi cha christmas!!! Mchaga vitu vikubwa ambavyo hujenga kwao ni nymba ya kufikia chrismas na mazishi sio uwekezaji.
Ukiikuta ardhi tupu kule ipo kwa ajili ya kanyumba ka KRISMAS wenyewe hawako Moshi HAWAJAJENGA NA ni eneo linalosubiri kuzika wachaga wa ndani na nje ya nchi watakaofariki!!!!
Kwa niamba ya wazee wote wa gambe tunaunga mkono hoja.Kutokana na Moshi kutotoa ardhi kwa wawekezaji wageni wenye uwezo ili wapanue ajira sasa hivi Moshi ndio inaongoza kwa kutoa wafanyakazi wengi mabaa maid kwenye baa za watu mikoa mingine Tanzania nzima inasikitisha
Haya home boy basi komaeni msije mkaporwa nyumbani.Ni wageni kabisa hawa wanaonekana hawana krismasi mbili hapa mjini.
Wazee hawataki mji utanuke sababu watakosa pakuzikwaMoshi kugumu kupata ardhi ya kuwekeza mgeni
Hadi manispaa ya moshi inashindwa kupanuka sababu hiyo
Miji midogo kibao inakua kwa kasi lakini mji wa moshi upo utafikiri umepigwa bomu .Kisa ubahili wa kutoa ardhi kwa wawekezaji wageni wenye pesa wawekeze
Mkuu kama Moshi kuna umasikini wakutupwa, basi maeneo mengine ya Tz ni fukara kabisa. Bila ushabiki huo umasikini haupo Moshi.shida inakuja kuwa waliobaki moshi kuna umaskini mkubwa wa kutupwa kule ajira hamna hata ya kuchoma tu mishikaki!! inabidi wakimbie waende mikoa mingine kuajiriwa kazi ya kuchoma mishikaki grocery ya mangi mwenzao ,Na wakishafika mikoa mingine wakajenga vitega uchumi vikubwa mahoteli ya nguvu nk hawarudi tena kuwekeza moshi .Mikodi mikubwa kuanzia ya manispaa inalipwa huko walikowekeza mikoa mingine kwao moshi mgambowanakiwa kukimbizana na akina mama wauza nyanya na vitunguu vya mafungu na watembeza matunda kuuzia wasafiri stendi kuu koo ya mabasi moshi mjini!!!!
vizaz vingi vimepita tend ni hiyo hiyo.Kwa hiyo unategemea mjukuu aje kuwekeza Moshi mahali ambapo population haiongezeki inapungua siku hadi siku kwa kuhamia mikoa mingine kutafuta riziki?
Trend ya population ya moshi ni exodus sio indus ,WEngi wanatimua sio wanaingia!!! na wakishajijenga hata wakifa watoto na wajukuu watabaki kusimamia vitega uchumi vya wazazi vilivyoko mikoa hiyo waliko wazazi
Mwamba ametawaliwa na hisia zaidi inasikitishaHapo tu kwenye population ni uhuni na uongo unaongea..
Tax records Moshi inakusanya zaidi ya jiji la Mwanza. Sasa sijui unaongelea nini hasa..
Alafu unavyosema Moshi hakuna kilichobadilika ni upuuzi na chuki zako kwa watu wa jamii hiyo
Kabisa Mkuu.Kumbe nawe home boy kabisa [emoji28][emoji28]
And we should either learn this itasaidia kujua utafanya nini?
Daaaah π π π kuwa mjanja uwazidi lazima utoboe hivi kuna watu wana ubinafsi kama wasukuma, na tumelijua hili baada ya watanzania kufanya makosa, je wanyaki hadi ubinafsi kwenye ngozi wakikutana mwakaleli, mwakipasile.Nenda pale kwa Tesha lete hapo bia kreti 10 na soda kreti 6
Kisha pita kwa Mrosso chukua sabuni box 3, halafu wakati unarudi utapita mashine kwa mama Oiso utachukua pumba na mashudu guniΓ 4.
Kwa mazingira hayo unafikiri mgeni utatoboa?
Mbona dada,mama,shangazi zako wanauza bar hatusemi,bladifakeniKutokana na Moshi kutotoa ardhi kwa wawekezaji wageni wenye uwezo ili wapanue ajira sasa hivi Moshi ndio inaongoza kwa kutoa wafanyakazi wengi mabaa maid kwenye baa za watu mikoa mingine Tanzania nzima inasikitisha