Anayesema wanaume wengi hawana nguvu za kiume lazima awe /alikuwa malaya

Anayesema wanaume wengi hawana nguvu za kiume lazima awe /alikuwa malaya

Nilivyokuwa mtoto nikiwa kijijini, nilikuwa naona vijana wa kiume/wanaume wakizamia mijini kutafuta maisha.

Leo hii naona mabinti wengi wakizamia mijini kwa lengo hilo. Matokeo yake wengi wanarudi makwao na mimba ambazo hawajui hata baba ni yupi!
Mimi niliwahi kukaa takribani miaka 8 kijiji flani,mabinti waliokimbilia mijini wengi walikuwa wanarudishwa wako hoi kwa VVU,ngono sio kitu cha kuendekeza kabisa,hasara ni kubwa kuliko faida...
 
Mimi niliwahi kukaa takribani miaka 8 kijiji flani,mabinti waliokimbilia mijini wengi walikuwa wanarudishwa wako hoi kwa VVU,ngono sio kitu cha kuendekeza kabisa,hasara ni kubwa kuliko faida...
Haswa! Ni hatari sana. Kwa sasa ndio maana vijijini kuna maambukizi kuliko hata mijini. Binti akishatoka mjini, na siku hizi ARVs zinavyopiga tafu, vijana wote wanajigonga hapo.
 
Duuu hatari,sana,nadhan tusipokuwa makini,tatizo linaweza kuwa kubwa sana kupelekea kuongeza kwa vijana HASI kwy jamii yetu
 
jamii ya kitanzania imeporoka kimaadili kwa kiasi kikubwa si wanaume wala wanawake wote hali mbaya....kifupi wenye mamlaka wameshindwa kuishape jamii isiathirike na maendeleo ya dunia....Ulaya na America kwa kiasi kikubwa wameishape jamii iweze kuishi sambamba na kasi ya ulimwengu bila kuathirika.

Tumetoea uhuru sana kwa wasanii wa muziki, filamu kuiharibu jamii kwa aina ya maisha yao kuwa ndio habari kuu kila mahala...umalaya na uchafu wote wa wasanii vinapewa covarage kubwa kwenye mitandano na kuonekana kama sehemu ya maisha ya kawaida...

Leo hii ujinga wa Hamornize, Kajala, Paula, Diamond, Rayvan nk ndio habari kuu kwenye jamii na kutangazwa na social medias kama sehemu ya maisha ya kawaida wakati ni ujinga uliopitiliza..

Mama zetu, Dada zetu wamepokea vibaya suala zima la haki sawa na kuwafanya wawe busy na dunia ili nao wawe na uchumi...hali hii imefanya wengi kukimbia jukumu la msingi la malezi kwa watoto na mwisho wake watoto kulelewa na akina baba au mabibi... Hali hii ya utafutaji wa maisha na hela kwa akina mama kunawafanya wengi kufanya mambo ya ajabu maana wengi wao wanalimitations kwenye huu utafutaji tofauti na wanaume.....( zipo kazi akinamama hawaziwezi na wanaume wanaziweza, hakuna kazi ya mwanamke mwanamume asiiwezi) .

Ni wakati wa jamii kuhimiza sana watu kuoa na kuolewa pia jamii ielimishwe uthamani wa utu na ubinadamu....Jamii ifundishwe kutothamini sana hela na kuweka mbele kuliko maisha na utu..

Ukosefu wa maadili unatokana na watu kuacha wajibu wao
 
Tatizo tunajilinganisha na wacheza ngono wa kwenye pornhub,saikolojia yetu imeathirika sana wale wanaigiza tu ushetani. Ukiachana na wale wenye tatizola kiafyaa au lishe duni

Tendo la ndoa ni tendo la furaha na ibada pia. Ndio maana sisi wakristo tumasema ndoa ni takatifu
Leo ndoa zinavunjika eti sababu haturidhiki sababu tumejawa na tamaa badala ya upendo.
Tuache uzinzi maana ndio chanzo cha mahusiano kuvunjika.
Tuache uzinzi kweli kabisa
 
Haibadili ukweli lakini, mmekua tia maji tia maji....dakika 2 pyuuuuuu imepata pancha.

Na haibadili ukweli kuwa kama umeyajua haya basi utakuwa kundi la malaya, utafiti huu hufanywa na malaya waliobobea.

Hata andiko langu linajieleza kuwa huenda ni kweli, kwani malaya ni wengi hivyo wamefanya utafiti na kugundua hilo
 
Huu ni ukosefu wa mambo ya kufanya mtu ukiwa na mambo ya kukufanya uwe productive ngono inakuwa ni jambo la mwisho kabisa,

Tunapenda sana ngono kiasi kwamba utakuta more than 300 km's ni mapori tu hayajaendelezwa.
 
Back
Top Bottom