Mimi niliwahi kukaa takribani miaka 8 kijiji flani,mabinti waliokimbilia mijini wengi walikuwa wanarudishwa wako hoi kwa VVU,ngono sio kitu cha kuendekeza kabisa,hasara ni kubwa kuliko faida...Nilivyokuwa mtoto nikiwa kijijini, nilikuwa naona vijana wa kiume/wanaume wakizamia mijini kutafuta maisha.
Leo hii naona mabinti wengi wakizamia mijini kwa lengo hilo. Matokeo yake wengi wanarudi makwao na mimba ambazo hawajui hata baba ni yupi!
Haswa! Ni hatari sana. Kwa sasa ndio maana vijijini kuna maambukizi kuliko hata mijini. Binti akishatoka mjini, na siku hizi ARVs zinavyopiga tafu, vijana wote wanajigonga hapo.Mimi niliwahi kukaa takribani miaka 8 kijiji flani,mabinti waliokimbilia mijini wengi walikuwa wanarudishwa wako hoi kwa VVU,ngono sio kitu cha kuendekeza kabisa,hasara ni kubwa kuliko faida...
Utandawazi ndio uliosababisha haya yote maana wengi wanatufananisha na wacheza ngono
Wanataka wanaume zao wakaze nyonga wajipinde kama wacheza filamu za ngono wanavyowaona
Mbna kama umekuja kuwatetea wanaume wa DAR[emoji23]
Mimi napita tu ngoja wenye upungufu wa nguvu za kiume na malaya waje kwenye uzi wao
Pole sana yamekukuta yepi hayo? Bora ungemtaja tu huyo malaya wako!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Binafsi nmekuelewa umeandka fact labsa
Hapo umewagusa watu hasa wadada wanaopnda tuwe kama wacheza x wakat maumbile yao wanayaharibu wenyew tena anaetaja kbamia unakuta ana tobo kama kapu.
jamii ya kitanzania imeporoka kimaadili kwa kiasi kikubwa si wanaume wala wanawake wote hali mbaya....kifupi wenye mamlaka wameshindwa kuishape jamii isiathirike na maendeleo ya dunia....Ulaya na America kwa kiasi kikubwa wameishape jamii iweze kuishi sambamba na kasi ya ulimwengu bila kuathirika.
Tumetoea uhuru sana kwa wasanii wa muziki, filamu kuiharibu jamii kwa aina ya maisha yao kuwa ndio habari kuu kila mahala...umalaya na uchafu wote wa wasanii vinapewa covarage kubwa kwenye mitandano na kuonekana kama sehemu ya maisha ya kawaida...
Leo hii ujinga wa Hamornize, Kajala, Paula, Diamond, Rayvan nk ndio habari kuu kwenye jamii na kutangazwa na social medias kama sehemu ya maisha ya kawaida wakati ni ujinga uliopitiliza..
Mama zetu, Dada zetu wamepokea vibaya suala zima la haki sawa na kuwafanya wawe busy na dunia ili nao wawe na uchumi...hali hii imefanya wengi kukimbia jukumu la msingi la malezi kwa watoto na mwisho wake watoto kulelewa na akina baba au mabibi... Hali hii ya utafutaji wa maisha na hela kwa akina mama kunawafanya wengi kufanya mambo ya ajabu maana wengi wao wanalimitations kwenye huu utafutaji tofauti na wanaume.....( zipo kazi akinamama hawaziwezi na wanaume wanaziweza, hakuna kazi ya mwanamke mwanamume asiiwezi) .
Ni wakati wa jamii kuhimiza sana watu kuoa na kuolewa pia jamii ielimishwe uthamani wa utu na ubinadamu....Jamii ifundishwe kutothamini sana hela na kuweka mbele kuliko maisha na utu..
Unamjua huyu ......Huend mbinguni mkuu.....[emoji16][emoji16][emoji16]machine hiyo, inasaga na kukoboa
Tuache uzinzi kweli kabisaTatizo tunajilinganisha na wacheza ngono wa kwenye pornhub,saikolojia yetu imeathirika sana wale wanaigiza tu ushetani. Ukiachana na wale wenye tatizola kiafyaa au lishe duni
Tendo la ndoa ni tendo la furaha na ibada pia. Ndio maana sisi wakristo tumasema ndoa ni takatifu
Leo ndoa zinavunjika eti sababu haturidhiki sababu tumejawa na tamaa badala ya upendo.
Tuache uzinzi maana ndio chanzo cha mahusiano kuvunjika.
Haibadili ukweli lakini, mmekua tia maji tia maji....dakika 2 pyuuuuuu imepata pancha.
Ndio maana tunashauriwa hata kuacha kuangalia picha za ngono,kwani uwezekano wa kulinganisha unachokitizama na huyo ulie naye ni mkubwa sana,na matokeo yake ni kuona kuwa mwenzi wako hana nguvu za kukutosheleza...