Anayesema wanaume wengi hawana nguvu za kiume lazima awe /alikuwa malaya

Nukuu

'Haiwezekani mwanamke asiyemalaya akaongea masuala ya nguvu za kiume kama hajawahi kuwa malaya. Haiji akilini na watu hatuwezi kumwelewa.' Mwisho wa nukuu.

Tuna wanawake ambao ni tabibu, wakunga wataalamu wa masuala ya akili na jamii, wanasiasa n.k. ambao kwa taaluma zao au nafasi zao katika jamii, wakawa na nafasi ya kujionea uhalisia wa hilo tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume kupitia njia mbali mbali.

1 Waathirika ambao ni wanaume, kuwaeleza moja kwa moja.
2 Wahanga ambao ni wake za waathirika kuwaeleza moja kwa moja
3 Kutokana na takwimu (wingi) za watu wa kundi la 1 na 2, wana taaluma wa masuala haya, wakaamua kutoa angalizo la chanzo na jinsi ya kuepuka au kujikinga na tatizo.
4 Wanasiasa kutokana na nafasi zao, mfano ubunge, kwa kupitia maelezo au machapisho ya 1, 2, na 3, wanaona wana wajibu wa kulisema hadharani ili ikibidi, serikali kupitia bunge wawe na fungu la pesa, mkakati maalum wa kukabiliana nalo, kwani ni tatizo la jamii.

Kwa bandiko lako, ikitokea mwanaume ameuelezea ugonjwa wake kwa tabibu ambaye ni mwanaume mwenzake, na tabibu, kwa kuona wimbi la wenye tatizo, akatoa angalizo hadharani kwa hatua gani zichukuliwe, basi kwa mtazamo wako huyo tabibu atakuwa analala na wanaume wenzake ndio maana anajua wana tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume!

Nguvu za kiume kwa uelewa wangu, si kulifanya tendo la ndoa kwa muda mrefu, au ukubwa wa maumbile ya mwanaume.
Ukosefu wa nguvu za kiume, ni kushindwa kwa maumbile ya mwanaume kusimama, na hivyo kushindwa kujamiiana.
 
Si vyema kumtaja mtu kiasi hiki daa jamani vibaya hivyo

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Wewe sawa lakini wengine lipo, na ndiyo maana mkeo yupo sawa lakini kwa michepuko umekutana na vimbotela ukisikia watu wanalia au kulalamika tambua tatizo lipo

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, kutolizungumzia au kuficha tatizo haimaanishi kwamba halipo.
 
Mkuu huyo ni mbunge wa viti maalum toka kagera (Bukoba)na ni mama wa watoto 2 alieachika so inawezekana akawa na muta wa kufanya utafiti hana kizuizi
 
Nilikuwa najiuliza sababu haswa ya kuachika kwa yule dada ni nini. Lakini kwa kukutana nae ni mtu mjuaji kupitiliza sana, amesoma vizuri na ametoka superior family huko Bukoba " The Lugangiras" toka enzi za mwalimu wanajulikana wako juu.

Inastaajabisha kwa ustarabu alionao mumewe waliyeachana kuwa na mke much know kama yule, halafu si mzuri sometimes watu wanaoa personality labda msomi baby how ru doin nyingi. Ngoja nifanye aerial mapping pale mbezibeach nijue kama kweli alikuwa kicheche wa style hiyo. Ndio maana anakuja na hoja za nguvu za kiume mara lishe hafifu sijui. Ila wahaya mtusamehe kwa dada zenu.
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…