Anayesema wanaume wengi hawana nguvu za kiume lazima awe /alikuwa malaya

Too generalized and too parochial not to mention how judgmental this assertion is. Phew!
 

Kwao maskini sana kalelewa na mama peke yake , kasomeshwa kwa msaada wa Mzee Rugemarila wana ujamaa huko bukoba na mume wake pia alimsomesha France baada ya kuingia kwenye ndoa familia yake haina huo uwezo, alipanda hadhi alivyoolewa na familia ya Apson lakini maisha yake yalikua ni duni mno baada ya divorce ashukuru mungu kapata ubunge

ni mjuaji Sana na hajatulia alipata mume Mtiifu, low profile na hasie na makuu sijui kwa nini alicheza sasa amebaki kulalwa na serengeti boys , mume alikua anamlea mh mbunge na mama yake before talaka, Katembea na vigogo wengi ili apate uwaziri

Mh ni mshirikina tangu akiwa mdogo nadhani ndio maana X husband aliingia kichwa kichwa kuoa Mwanamke wa design ile pamoja na ustaarabu alionao mwanaume
 
Inawezekana wewe ndo. Ex aisee mbona unaandika kama una hakika namna hii? Ndoa zina mambo mengi sana
 
Tumsamehe dada yetu. Maana baada ya extensive profiling inaonekana hata elimu yake ni kama ina magumashi fulani. (Ya kinaijeria)

Sababu Greenwich School of Management ndio alipata Degree hiki chuo no longer existing. Boston college , Lincolnshire ni kama Ras simba college.

Haya ubobezi anaojinasibu nao wa Supply chain & Purchasing unatolewa na EIPM sidhani hata kama Bodi ya ugavi ya Tanzania ime mcertify huyu mheshimiwa .

In short huyu alibebwa na Jina la baba mkwe akapata positions kule Statoil mpaka Sagcot. Subastance hapa ni ya kawaida sana. Tumvumilie tuu ndio ashakuwa mwakilishi wetu wa NGO bungeni.

Halafu TCU hawa waheshimiwa wabunge muende mkacertify vyeti vyao.
 
Pamoja na Maelezo marefu ya huyo Mwandishi wa Habari ila na Sisi ifike muda tuseme Ukweli na tuacheni kuwa Wanafiki au kama Majuha.

Napingana na Hoja kwamba wanaohoji au Kuzungumzia Suala la Upungufu wa Nguvu za Kiume walikuwa ni Malaya ( Wahuni ) enzi zao.

Badala yake nadhani kwa Kukimbilia kuona Wanaume tunatukanwa ( kudhalilishwa ) huyu Shujaa ( Mbunge ) aliyejitokeza kusema hili angepongezwa na ikibidi hata apewe Tuzo kuliko Kumshambulia na Kumdhihaki.

Sasa na Mimi Generalist ( tena kwa Kujiamini ) kabisa nasema tatizo la Nguvu za Kiume lipo Kubwa na tena kwa sasa ndiyo linaongezeka na huenda huko mbeleni Dada zetu wakaanza Kujihudumia tu wenyewe au kwa Vifaa Maalum vinavyouzwa Madukani.

Huyu Mwandishi wa Habari angejikita zaidi katika Scientific Facts ningemuelewa na hata Kumsifu ila 90% ya Article yake imejaa Majungu na Uswahili Uswahili wetu tulionao Watanzania wengi ( japo siyo wote ) pia.

Kama karibia 99% ya Wauzaji wa Maduka ya Dawa nchini ( hasa katika hii Mikoa mikubwa Dar es Salaam yangu ikiwemo ) wanasema kama kuna Dawa ambazo zinauzika sana kwa Wazee na Vijana ni za Nguvu za Kiume hivi Logically tu na hata kama hujafanya thorough Research hii siyo clear indication kwamba tatizo lipo, kubwa na pengine linahitaji Mjadala mpana wa Kulijadili ili kutafuta Ufumbuzi wake na tuweze Kuokoa Vizazi vya sasa na hata vijavyo?

Kama Mwandishi wa Habari anashindwa kuja na Objective Analysis ya Suala ( tatizo ) na badala yake anakuwa very subjective, biased, judgmental and conclusive tukisema Tanzania hakuna Journalists bali tuna Crook and Brown Enveloped Journalists tutakuwa tunakosea au Kuwatukana?

Tuacheni Unafiki tatizo hili lipo sana tu.
 
Wanawake wengi sana wana mapungufu mengi sana kwenye nguvu zao za kike- wengi ni anaitenga K yake wala hajiskii chocholate - ukishammiminia anageuza ubavu mbonji.

Usiniulize nimejuaje...
 
Watutungie sheria ambayo binti wa MTU akikutwa hana kifuniko cha soda mahari irudishwe na matiti yakilala kama busha pia mahari irudishwe hakuna ndoa kufungwa mpaka doctor ahakiki binti ametimiza vigezo hivyo. Ili tuache kunyosheana vidole oo anahandaki Mara oo gear namba 2 na kuendelea inagoma kuingia na vitu kama hivyo.

CC: kibuyu cha kijani.
 

HIi sheria ni kali sana😄😄😄
 
Wanawake wengi sana wana mapungufu mengi sana kwenye nguvu zao za kike- wengi ni anaitenga K yake wala hajiskii chocholate - ukishammiminia anageuza ubavu mbonji.

Usiniulize nimejuaje...

Tunafanyaje sasa maana hali imekuwa ngumu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…