Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Yanga itashinda goli 2 kwa bila na ili upate pesa nyingi bashiri kuwa goli zote zitapatikana kipindi cha kwanza.
Pesa nje nje, wataalamu wa betting mnisaidie , nikibeti kwa kutabiri yanga itashinda goli 2 kipindi cha kwanza na kuweka elfu 10 itazaa sh.ngapi?
Nimeota, na inaenda kuwa kama nilivyoota.
Updates
Samahani, niliamka na mawenge nikashindwa ku present kitu nilichokiona kwa ufasaha maana nilijawa furaha.
Ila yote kwa yote Fainali hii
Pesa nje nje, wataalamu wa betting mnisaidie , nikibeti kwa kutabiri yanga itashinda goli 2 kipindi cha kwanza na kuweka elfu 10 itazaa sh.ngapi?
Nimeota, na inaenda kuwa kama nilivyoota.
Updates
Samahani, niliamka na mawenge nikashindwa ku present kitu nilichokiona kwa ufasaha maana nilijawa furaha.
Ila yote kwa yote Fainali hii