Anayetaka pesa ya bure aweke bashiri hii mechi ya Yanga kesho.

Anayetaka pesa ya bure aweke bashiri hii mechi ya Yanga kesho.

Yanga itashinda goli 2 kwa bila na ili upate pesa nyingi bashiri kuwa goli zote zitapatikana kipindi cha kwanza.

Pesa nje nje, wataalamu wa betting mnisaidie , nikibeti kwa kutabiri yanga itashinda goli 2 kipindi cha kwanza na kuweka elfu 10 itazaa sh.ngapi?

Nimeota, na inaenda kuwa kama nilivyoota.
Amka utajikojolea, unaota wewe......



Hiyo kweli ndoto,hii game ina aggregate ya 4 - 2

So weka over 3.5 utanishukuru
 
WANANCHIIIIIIIIIIOOOOOOOOO. LEO NDIO ILE SIKU AMBAYO WANAYANGA WOTE TUNA BANG NAYO .
YAANI MAKOLO LEO NDIO RASMI WANAGEUZA VYOO MAHALA PAO PA KULILIA.
TUNAENDA KUTINGA FAINALI RASMI KWENYE ARDHI YA UGENINI.
MARK MY WORDS
 
Yanga itashinda goli 2 kwa bila na ili upate pesa nyingi bashiri kuwa goli zote zitapatikana kipindi cha kwanza.

Pesa nje nje, wataalamu wa betting mnisaidie , nikibeti kwa kutabiri yanga itashinda goli 2 kipindi cha kwanza na kuweka elfu 10 itazaa sh.ngapi?

Nimeota, na inaenda kuwa kama nilivyoota.
Siku nyingine ukiota mechi yoyote ile uni quote,una nguvu flani iliyojificha ndani yako
 
Yanga itashinda goli 2 kwa bila na ili upate pesa nyingi bashiri kuwa goli zote zitapatikana kipindi cha kwanza.

Pesa nje nje, wataalamu wa betting mnisaidie , nikibeti kwa kutabiri yanga itashinda goli 2 kipindi cha kwanza na kuweka elfu 10 itazaa sh.ngapi?

Nimeota, na inaenda kuwa kama nilivyoota.
Oya nimekubali kwamba umezaliwa Ngende,Liwale Lindi.
 
Back
Top Bottom