Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

Tuanze kuimbaa

''Mtetezi wangu Yesuu!!! Anaishi leoo!!!,
mtetezii wangu yu-haii!.''


Au basi twende na hii

''Mungu alipo-muumba Adamu!!,
hakumuacha awe pekee yake,
akamfanyia na msaidiziii!!,
wakuu-fanana nayee!!''

Dj.. Dj..
Torekaa papaa
 
Jamaa yangu nyuzi zako nyingi huwa unaandika as if binadamu kanyooka kama rula. Ati ukienenda hivi basi kwasababu ni haki au ni sahihi kwa maono yako basi hata yule asie na maono kama yako basi akienenda tofauti kitampata kitu.

Binadamu hubadilika, binadamu huyakubali au kuyakataa mabadiliko, binadamu hushawishiwa kubadilika ama kutobadikika.

Mabadiliko eidha ni sahihi au si sahihi yanaweza kumuathiri au yasimuathiri.

The world is not fair.
 
Back
Top Bottom