mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Koboko ya Wachawi alifanya makubwa zaidi ya hayo.Niko nafuatilia mkutano wa injili wa mwamposa huko Arusha naona makubwa yanafanyika anavohubiri neno liko sawa
Ana nguvu za Mungu, Muujiza wa kwanza. Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.
Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno
Nitakuwa reporter leo.
Kiboko alikomalia pesa zake haziliwi na watu wasiofanya kazi wanaokuja kuchota tu. Ikala kwake.Mwamposa na Kiboko ya wachawi hawana tofauti inaonekana kiboko ya wachawi alishindwa kula na CCM
Ameenda kumsapoti RC kufukia fukia hizi taarifa zinazosambaa.Lipiaa tangazo lako ndugu mtume mwamposaa maana tushajua upo Arusha na jipili utakuwa kaweee✍️
Kiboko alikuwa anafufua wafu kwenye redio Times Fm.Mwanamke mjazito aliyepitiliza muda wa kujifingua, Sasa Leo kapata uchungu na anajifungua.
Watakuambia wale wa hospital eti hawana imani. Ukiwa Mwanza utasikia ''eti kuna mtu kaponywa kule Songea'', ukienda Songea utasikia ''Mwanza wameponywa watatu''.SIKU WAKIENDA HOSPITAL KUPONYA WAGONJWA NA KUKUSANYA VILEMA NA KUWAPONYA NTAAMINI WANATENDA MIUJIZA KWELI
Huwa haiko hivyo.SIKU WAKIENDA HOSPITAL KUPONYA WAGONJWA NA KUKUSANYA VILEMA NA KUWAPONYA NTAAMINI WANATENDA MIUJIZA KWELI
Wako wapi hao viwete tangu amefanya miujiza sijawahi kutana hata mmoja na hata wewe huwezi kutoa ushahidi nani na yuko wapi alipata huo muujiza?Viwete wanatembea
Amen
Hahaha hivyo hivyo Mkuu kama ulikuwepo.Watakuambia wale wa hospital eti hawana imani. Ukiwa Mwanza utasikia ''eti kuna mtu kaponywa kule Songea'', ukienda Songea utasikia ''Mwanza wameponywa watatu''.
Dhambi wanazifanya madhara yake badala watubu wanaishie kwenye mikono ya matapeliWanawake wengi ni wahanga wakuu wa huyu tapeli Mwamposa