Anayoyafanya Mwamposa kama ni kweli, Watanzania tusipuuze kila kitu

Wapumbavu mpo wengi sana tanganyika ndiyo maana tuna tawaliwa na raia feki na waarabu na wazanzibar.
 
Watu wangu wanaangamia
 
Muujiza pekee aliofaulu ni kuwafanya watu mazuzu wasiweze kutumia akiki zao. Kutumia kilainishi ambacho ni mafuta ya kupikia kua maguta ya upako. Hana tofauti na huyu mhuni anayejiita kiboko ya wachawi.
 
Aiseee wajinga hawaishi...yaani bado unaamini maigizo ya hao MATAPELI?
Ndugu nikuhakikishie hakuna maigizo.
Ni nguvu halisi inafanya kazi.Pengine suala hapa la kujiuliza je ni nguvu za Mungu wa kweli?Shetani ana uwezo kama huo au hata zaidi.Shetani naye huwafanikisha watu wake na wanafiki wanaokataa neno na kumfuata mtu.

Jibu lipo katika maandiko.Mti mwema huzaa matunda mema.Mtawatambua kwa matunda yao.

Binafsi simjui Mwamposa kwa karibu lakini walio karibu yake watashuhudia matunda yake.

Hata hivyo ninaweka wazi tu msimamo wangu kuwa siamini matumizi ya mafuta ,chumvi au hata maji wanayaita living water.Tunaishi kipindi ambacho shetani anavaa ngozi ya kondoo ili kondoo wengi wamfuate.Ukifika wakati awachinje vizuri wakiwa kwenye himaya yake.Huwezi jua huenda hayo mafuta na vitu kama hivyo ndio muhuri wake unapigwa.
Kristo anapungua umaarufu badala yake watu na majina yao na mafuta yao ndio wanaotrend.
Haya mambo si ya kushangaza kuona kiboko ya wachawi na diamond ni washirika.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa mkoa ameshawafika mkutanoni. Mahubiri ni mazuri mno😂😂😂😂
 
Huyo mjamzito aliyepitil

Mwamposa na Kiboko ya wachawi hawana tofauti inaonekana kiboko ya wachawi alishindwa kula na CCM
Nakuunga mkono
 
Acha ujinga ndugu, Mwamposa ni Kiboko ya wachawi anayejua Kula na wakubwa
 
Kuna kitu ukijiuliza utapata jibu hivi unajua kwanini Yohana mbatizaji ndiye alimbatiza Yesu ila akiwa jela bado alituma wanafunzi wake kwa Yesu kuuuliza kama ndiye au wategemee mtu mwingine? Oya ogopa sana
 
Hawa manabii angalau naweza anza kuwaamini pale wakianza kutembelea mahospitalini na kuponya wagonjwa, na madaktari wawe wanathibitisha.

Ila hii ya kuponya wagonjwa wao tu, hii siielewi
 
Wanaojiita watumishi wa Mungu walio wengi wanatafuta fedha kwa njia ya dini, hawana tofauti na wafanyabiasha, sema Tanzania wajinga wengi mno kuliko sehemu nyingine duniani.
 
Uliposema na mkuu wa mkoa yupo ndio uzi ulipoharibikia. Sehemu yoyote akiwepo uyo jamaa mkuu wa mkoa, uwepo wa baraka za kimungu unakimbia. Kwanza tunataka atoke adharani atubu kwa kumanisha sio hizo tour za nyumba za ibada za kuigiza
 
Aisee, wajinga ni wengi.

Ukiwa na guts kama za hao manabii unapiga pesa sana aisee.
Ona hii mutu nayo siku moya tu imeshaingia kingi, si ajabu ishatuma sadaka ya 20k ili abarikiwe kupitia m-pesa.
 
KWANINI AKAJIFUNGUE SIKU YA MKUTANO NA SIYO KABLA AU BAADA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…