Andika chakula ukipendacho na sisi tukijue

Dona mlenda wa karanga..sato mkavu..nyama choma bila kusahau mtindi mzitoo.

Halafu nipate bia mbili...haki mtoto wa kike akiitenga mbususu hatulali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Dona mlenda wa karanga..sato mkavu..nyama choma bila kusahau mtindi mzitoo.

Halafu nipate bia mbili...haki mtoto wa kike akiitenga mbususu hatulali.

#MaendeleoHayanaChama

Hivyo vyote vinaenda tumboni kwa pamoja?
 
Ugari na nyanya chungu au mnavu na bange wanangu wa iringa mnanielewa
 
Wenyewe wanaitaga uposi[emoji39][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndagha nkamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…