Andika chakula ukipendacho na sisi tukijue

Andika chakula ukipendacho na sisi tukijue

Dona mlenda wa karanga..sato mkavu..nyama choma bila kusahau mtindi mzitoo.

Halafu nipate bia mbili...haki mtoto wa kike akiitenga mbususu hatulali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Dona mlenda wa karanga..sato mkavu..nyama choma bila kusahau mtindi mzitoo.

Halafu nipate bia mbili...haki mtoto wa kike akiitenga mbususu hatulali.

#MaendeleoHayanaChama

Hivyo vyote vinaenda tumboni kwa pamoja?
 
Mbalaga(ndizi)

Hizi upikwa kwa mchanganyiko wa
[emoji117]nyama&utumbo
[emoji117]nazi&karanga
[emoji117]pilipil ya kunukia na kuwasha kwa mbaaaali
[emoji117]njegere

Then zikiwa kwenye sahani kubwaa zikifuka moshi wenye harufu taamu kwa kusindikizwa na juisi moja saaaafi ya bariiidiiiiiiiiii ama mirinda nyeusi ikikosekana pepsi ya bariiidi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Aloo hii kitu ni nomaa mwanamke akipatia kupika hii kitu nitaoa kwa mahali apendayo yeye na chenji abaki nayo[emoji28]
Wenyewe wanaitaga uposi[emoji39][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mbalaga(ndizi)

Hizi upikwa kwa mchanganyiko wa
[emoji117]nyama&utumbo
[emoji117]nazi&karanga
[emoji117]pilipil ya kunukia na kuwasha kwa mbaaaali
[emoji117]njegere

Then zikiwa kwenye sahani kubwaa zikifuka moshi wenye harufu taamu kwa kusindikizwa na juisi moja saaaafi ya bariiidiiiiiiiiii ama mirinda nyeusi ikikosekana pepsi ya bariiidi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Aloo hii kitu ni nomaa mwanamke akipatia kupika hii kitu nitaoa kwa mahali apendayo yeye na chenji abaki nayo[emoji28]
Ndagha nkamu
 
IMG_20220818_183727_034.jpg
 
Back
Top Bottom