Andika usichokipenda humu JamiiForums

Wahenga wana raha yao kwakweli(ukiondoa wahenga walio na balehe sugu)
 
Kesho asubuhi utamuona anaanza mwanzo ya uzi na asivyopenda kupitwa espy
Na kutopenda kupitwa kwangu koote nimeshindwa kwenda sambamba na nyie. Uzi umesonga sana aisee!! Nipe samari basi.
 
Kupitwa kunauma we acha tu!! Natamani kweli kujua nini kinaendelea. Ngoja kwanza niwapikie wanangu.
 
Sipendi Tabia Ya The Bold. Anapigwa ban Anakaa Miezi 3 Akirudi Anasalimia Hadi Leo Yajawahi Kurudi. Nimemzarau Na yeye. Mnisamehe Tuu[emoji28] [emoji28]
 
Mhenga mimi naunganisha doti na akili zangu za u-ti nee jaa

mie ushahidi sina ndo maana nauliza kwamba naniliu haijananili-wa

na wewe mwenyewe pyeee

mxiuuuuuuu!

muhenga gani tena ana maneno machafu khaa

kumbe ndo uko hivyo

woiii

kwendraaa
Wewe ni mukenya?
 
wewe ndio debe tupu na ukoo wenu wooote

Hahahaha

na ukoo tena naona leo umechafukwa kweli kweli

nimekudharau big dada miaka inakimbia hivyo lakini akili inabaki nyuma kama unyayo

haya bana sitaki ban miye maana hawa mods wananiangalia 24/7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…