Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Chenge ana roho nzuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chenge ana roho nzuri sana.
Huyu anapiga deal na haachi evidences. Akili nyingi huyu mzee.Mtemi kama mtemi, mpiga dili pekee from Havard university
mbona fisadi lowassa aligombea urais ? Mwache Mzee ale nchiIlitegemewa kuwa fisadi atagombea u spika?
Alishajua kwa hawa wabongo kwenye vidigrii vya UDSM hawamfanyi cheochote!Mtemi kama mtemi, mpiga dili pekee from Havard university
Smart wa upigaji lakini sio ubunifu wa utumiaji wa akili yake kusaidia taifaChenge ninampenda sana babu yangu. Kila lenye kheri kwake. Smart Babu kuanzia akili mpaka usafi wa mwili.
Ana jazba uspeeker haumfaiHuyu ndiye mgombea bora kuliko wengine wote
WellMpaka leo bado huwa najiuliza maana ya kujiita joka la makengeza!
Maana yake nini na joka lenye makengeza linafanya nn
Huyu hayupo kwa sababu ya taifa. Huyo anatafuta vyeo sababu ya Ego yake na kujilimbikiza utajiri. Hana uzalendo huyo. Anaiba kwa akili na hakamatiki.Smart wa upigaji lakini sio ubunifu wa utumiaji wa akili yake kusaidia taifa
Wote ni wana ccm hivyo hakuna ajabu maana ccm ni pango la mafisadi.mbona fisadi lowassa aligombea urais ? Mwache Mzee ale nchi
Bila kupingaTunatawaliwa na jamii za kichawi.
Ili mradi ujue kurogaSiku moja nitakuwa MTEMI kama huyu Mnyantuzu
Lina ng'ata kokote tuMpaka leo bado huwa najiuliza maana ya kujiita joka la makengeza!
Maana yake nini na joka lenye makengeza linafanya nn
Maana yake unafikiri anaangalia kulee kumbe anaangalia hapa.Mpaka leo bado huwa najiuliza maana ya kujiita joka la makengeza!
Maana yake nini na joka lenye makengeza linafanya nn