Andrew Chenge achukua fomu ya kugombea Uspika. Fahamu kuhusu wasifu wake

Andrew Chenge achukua fomu ya kugombea Uspika. Fahamu kuhusu wasifu wake

Kuanzia kwa wahusika (characters) wa muvi, wanasiasa hadi watu wa kawaida, napenda Sana watu wanaotumua akili saaana na sio mitulinga (maguvu)! Chenge ni miongoni mwa watu wachache SMART KICHWANI hapa Tanzania...hadi Jiwe alimpita pembeni na kwa tahadhari Sana! Karibu sana Change!
Very Smart. Hata alivyokatwa jina ubunge akatulia tu.Huyu Babu huyu ana akili nyingi sana.Hata leo alivyohojiwa na waandishi wala hajajitapa kama wengine. Maana wengine wameongea kwa ukiona ni ma speaker tayari.
 
Mtu mbad mtoto kutoka pale chuo bora kabisa duniani havard anaenda kutengeneza formation......very smart upstairs
 
Mambo ya vijisenti yamerudi kama mvua ya mafuriko! Sidhani kweli kama hii nchi hata hiyo 2025 itafika kwa mwendo huu.

Usikute zile trilioni 1.3 za Bi Mikopo, Mzee wa Vijisenti angedai ni vipesa tu vya chenji wala havina athari yoyote kwa taifa.
Hili ndilo joka la makengeza,huwa likinusa tu alufu ya pesa lenyewe linapiga,na kuwekeza huko ma mbele
 
Mzee huyu kwa nini hataki kupumzika? Itakuwa aibu akigaragazwa na kijana kama Tulia kwenye kura huko Bungeni. Au utaratibu ukoje: kamati kuu ya ccm itapeleka jina moja tu huko bungeni kupigiwa kura?
 
Mzee huyu kwa nini hataki kupumzika? Itakuwa aibu akigaragazwa na kijana kama Tulia kwenye kura huko Bungeni. Au utaratibu ukoje: kamati kuu ya ccm itapeleka jina moja tu huko bungeni kupigiwa kura?
Hakuna aibu kwenye uraji.
 
Very smart Kichwani, ambacho wengi hawajui ni kuwa "ufisadi mkubwa mkubwa, dili kubwa kubwa za wanene,huyu ndy Engineer wapi tuingilie na wakitupeleka korti tunatokea pale".Hii machine mujarabu ya kusafisha dili kubwa kubwa!! Huyu hunfungi ata utambike.!!Hii ni lulu ya Chama chao usipime!!
 
Habari ndio kama mnavyoisikia ndugu zangu, mzee wa vijisenti ambaye inasemekana ana akili nyingi kuliko wagombea wengine wote waliokwishachukua fomu, leo tarehe 12/01/2022 amejitosa kwenye kinyang'anyiro hicho.

View attachment 2078130
Huyu mzee "nyoka wa makengeza" atulie tena......

#Safari Yetu Na Dr Tulia
#Tulia Ackson hoyeee👍
 
Mzee huyu kwa nini hataki kupumzika? Itakuwa aibu akigaragazwa na kijana kama Tulia kwenye kura huko Bungeni. Au utaratibu ukoje: kamati kuu ya ccm itapeleka jina moja tu huko bungeni kupigiwa kura?
Njaa haina uzee pili hawana ujanja wa kuishi nje ya ajira hata uwape bilioni moja wakajiari.
 
Back
Top Bottom