Alisahau viji cent vyake pale,kabla mipango haikukamilika likaingia buldouzer jizi lisilotumia brain akalipisha.Katika vipaumbele vya joka la makengeza-Mzee Chenge fursa kama hizo hawezi achia.Ningeshangaa sana kama asingechukua
Fununu zinasemekana alifuatwa na wajanja ili agombee,wanafahamu kuwa nao watafaidi humo humo.
Uzembe wa Ndugai unaenda kuwagharimu Watanzania pakubwa.It's only a matter of time.