Andrew Chenge afika kwenye Kamati ya Katiba, awataka Wajumbe warudi kwenye Rasimu ya Warioba

Hahaha....... Chadema mnayumba sana!
Chadema imekuwa ikisisitiza Tangu Bunge la Katiba kuheshimiwa Kwa rasmu ya Warioba ambayo ilibeba maoni ya Wananchi. Leo Chenge ambaye alishiriki Sana kwenye Katiba iliyopendekezwa ya kiCCM, ameona alipokosea na kutamka Wazi Rasmu sahihi ni ya Warioba na siyo iliyochakachuliwa na kuitwa Katiba inayopendekezwa. Hapo Chadema wamegeuka nini?
 
Huyu ni mshenzi Sana! Ndio aliharibu mchakato wote!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
FISADI papa Andrew John Chenge. Uzuri ukitaka akili za mwafrika zimrudie mtoe nje ya duara la kula ubwabwa.
 
Kwamba kwa vile Chenge ni fisadi basi habari zake kuhusu Katiba zifichwe ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Huyu Mh kwangu ni Genius. Hatakama alipiga. Hiki kichwa nihatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…