Andrew Nyerere: Ukimpa mtoto peremende hakikisha anamsifu na kumshukuru Mungu

Andrew Nyerere: Ukimpa mtoto peremende hakikisha anamsifu na kumshukuru Mungu

Ni Muhimu athibitishe Mungu hayupo,

Atueleze alimtafuta lini na wapi akamkosa.

Ni sawa tu na pale South Africa, wazungu walipofika pwani ya s.a walisema hawakukuta mtu yeyote pale.

Kiranga athibitishe Mungu hayupo,

Mimi nimethibitisha Mungu yupo!

Wewe unaamini hapakuwa na mtu pale Bondeni zaidi ya ndege pekee?
Wapi umethibitisha Mungu yupo?

Na kama Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo, kwa nini tunahitaji kuthibitisha yupo?

Kwa nini Mungu huyo hajajiweka wazi kabisa kiasi uwepo wake ujulikane na kila kiumbe, kusihitajije uthibitisho kwamba yupo?

Huoni kwamba wewe kuhitaji kuthibitisha Mungu huyo yupo huo nao ni uthibitisho kwamba Mungu huyo hayupo?
 
Ukitaka maisha marefu duniani, jifunze unyenyekevu na kuepuka kujimilikisha sifa za Mungu.
Watoto wadogo wanaokufa mapema wana jimilikisha sifa zipi za huyo mungu zinazo pelekea wafe udogoni?

Unathibitisha vipi kila aliyeishi maisha marefu alikuwa mnyenyekevu?

Au unaleta speculations zako zisizo na kichwa wala miguu?
 
Na mtu maskini, mlemavu, yatima, mgonjwa anapaswa kumshukuru nani kwa hali yake hiyo?
Wote wamshukuru Mungu Kwa Pumzi ya uhai awapayo Bure.

Uhai ni zaidi ya pesa, ndo maana tajiri hawezi kuzuia asife Kwa kutumia pesa.

Yatima amsgukuru Mungu, Yeye ndiye baba wa yatima,

Mlemavu amshukuru Mungu Kwa kuwa ulemavu ni katika mwili tu, mtu halisi ambaye ni ROHO Hana ulemavu.

Amen
 
Watoto wadogo wanaokufa mapema wana jimilikisha sifa zipi za huyo mungu zinazo pelekea wafe udogoni?

Unathibitisha vipi kila aliyeishi maisha marefu alikuwa mnyenyekevu?

Au unaleta speculations zako zisizo na kichwa wala miguu?
MADA inaeleweka,

Sifa, utukufu na Heshima ni za Mungu,

Na kamwe hagawani utukufu na wanadamu.
 
Wote wamshukuru Mungu Kwa Pumzi ya uhai awapayo Bure.
Mtu amezaliwa mlemavu, yatima, mgonjwa anapaswa kumshukuru nani katika hali yake hiyo?

Acha kupindisha na kukwepesha swali.

Uhai ni zaidi ya pesa, ndo maana tajiri hawezi kuzuia asife Kwa kutumia pesa.
Je watoto wanaozaliwa na kufa hapo hapo au wanaofia tumboni hawana haki ya uhai?

Huyo Mungu, Anashindwaje kuwapa uhai hawa watoto?

Huyo Mungu anatoa uhai gani, ilhali kuna maelfu ya watoto wachanga wanaozaliwa wamekufa?
Yatima amsgukuru Mungu, Yeye ndiye baba wa yatima,
Baba wa yatima kivipi?

Huyo Mungu kwa nini aache watoto wengine wazaliwe na wazazi wawili baba na mama, Halafu aruhusu wengine kuzaliwa yatima?

Huyo Mungu hajui kwamba watoto wachanga wanastahili malezi ya baba na mama ili wakue?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?


Mlemavu amshukuru Mungu Kwa kuwa ulemavu ni katika mwili tu, mtu halisi ambaye ni ROHO Hana ulemavu.

Amen
Huyo Mungu kwa nini akuumbe wewe mtu mzima halafu watu wengine awaumbe walemavu?

Kama ulemavu ni katika mwili tu, Kwa nini huyo Mungu haku kuumba wewe mlemavu wa mwili?

Hivi wewe pamoja na huyo Mungu mna Akili kweli?
 
MADA inaeleweka,

Sifa, utukufu na Heshima ni za Mungu,

Na kamwe hagawani utukufu na wanadamu.
Nakwambia hivi, Huyo Mungu ni Mdhaifu na wala hajielewi.

Na hana hata chembe ya utukufu.

Na kama huyo Mungu yupo na ana utukufu aje nao hapa ajidhihirishe.

Kwani huyo Mungu hawezi kujitetea mwenyewe hadi wewe uanze kumsifu na kumtetea?
 
Mtu amezaliwa mlemavu, yatima, mgonjwa anapaswa kumshukuru nani katika hali yake hiyo?

Acha kupindisha na kukwepesha swali.


Je watoto wanaozaliwa na kufa hapo hapo au wanaofia tumboni hawana haki ya uhai?

Huyo Mungu, Anashindwaje kuwapa uhai hawa watoto?

Huyo Mungu anatoa uhai gani, ilhali kuna maelfu ya watoto wachanga wanaozaliwa wamekufa?

Baba wa yatima kivipi?

Huyo Mungu kwa nini aache watoto wengine wazaliwe na wazazi wawili baba na mama, Halafu aruhusu wengine kuzaliwa yatima?

Huyo Mungu hajui kwamba watoto wachanga wanastahili malezi ya baba na mama ili wakue?

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?



Huyo Mungu kwa nini akuumbe wewe mtu mzima halafu watu wengine awaumbe walemavu?

Kama ulemavu ni katika mwili tu, Kwa nini huyo Mungu haku kuumba wewe mlemavu wa mwili?

Hivi wewe pamoja na huyo Mungu mna Akili kweli?
Ndugu MPUMBAVU Infropreneur amesema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu.( Zaburi 53:1).

Ungejua tafsiri ya KIFO na asili ya uhai, ungehoji kama aliye timamu.
 
Chochote chenye Jina kina exist.

Mungu ni Noun, yupo.

Mimi ninaongeaga nae na kusikia sauti yake.

Ndiye huyo akupaye Pumzi Bure Kisha unamkataa!!
1710169934007.png

Huyo ni Bwana Dragon ana jina sasa ana-exist wapi ? Kama ni kwenye fikra na hadithi basi ni sawa..., Ila tofauti ya huyu Dragon ambaye watu wamekubaliana jinsi alivyo kwenye muumba watu wanatofautiana - Kwahio kwenye premise hio pekee logically haiwezekani akawepo...., Sababu kama wewe, yule na yule mwenye Imani nyingine kuna utofauti wa jinsi alivyo / uhalisia wake; Hivyo basi kama kuna majibu tofauti yanayoongelea kitu kimoja utaona kwamba yote hayawezi yakawa factual
 
View attachment 2931673
Huyo ni Bwana Dragon ana jina sasa ana-exist wapi ? Kama ni kwenye fikra na hadithi basi ni sawa..., Ila tofauti ya huyu Dragon ambaye watu wamekubaliana jinsi alivyo kwenye muumba watu wanatofautiana - Kwahio kwenye premise hio pekee logically haiwezekani akawepo kama wewe, yule na yule mwenye Imani nyingine anavyosema sababu kama kuna majibu tofauti yote hayawezi yakawa sawa...
Huyo dragon yupo, JOKA lenye kutema moto lipo.

Narudia, Kila chenye Jina kipo.

Kinachoexist Si lazima ukione Kwa macho ya Damu na nyama.

Karibu.
 
Mungu yupo ndani ya mtu, ukimsifia mtu umemsifia Mungu. Mungu ni mweza wa yote wala hahitaji sifa za binadamu. Mbele ya Mungu sisi ni vitoto vidogo sana.
 
Ndugu MPUMBAVU Infropreneur amesema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu.( Zaburi 53:1).
Ndugu MPUMBAVU Rabbon amesema moyoni mwake kuna Mungu. (Atheist 47:2)
Ungejua tafsiri ya KIFO na asili ya uhai, ungehoji kama aliye timamu.
Nakwambia hivi wewe pamoja na huyo Mungu wako hamjitambui na wala hamna akili.

Umeishiwa hoja una anza Viroja.
 
Ndugu MPUMBAVU Rabbon amesema moyoni mwake kuna Mungu. (Atheist 47:2)

Nakwambia hivi wewe pamoja na huyo Mungu wako hamjitambui na wala hamna akili.

Umeishiwa hoja una anza Viroja.
Ninyi Atheist ni wapumbavu sawasawa na (Zaburi 53:1)

Na MPUMBAVU kamwe hawezi kuwa Mjinga.

Ungekuwa Mjinga, ungemtafuta Mungu kabla ya kusema hayupo.

Mimi Rabbon Si MPUMBAVU sababu nimemtafuta na kumpata na kuthibitisha Mungu yupo.
 
Ninyi Atheist ni wapumbavu sawasawa na (Zaburi 53:1)

Na MPUMBAVU kamwe hawezi kuwa Mjinga.

Ungekuwa Mjinga, ungemtafuta Mungu kabla ya kusema hayupo.

Mimi Rabbon Si MPUMBAVU sababu nimemtafuta na kumpata na kuthibitisha Mungu yupo.
Una bwabwaja tu hapa wala huna hoja.

Huyo Mungu anatafutwa kwani amejificha?
 
Back
Top Bottom