acanthocyte
Senior Member
- Nov 27, 2012
- 190
- 157
Lakini keshafariki R.I.P ibra87 m/mungu amuondolee adhabu na awe miongoni mwa wenye kupewa makazi mema peponi,, Amiin!!!Ni mmoja wa member wa jf alikuwa analeta story kama hizi za steve
Haha hapana mkuuNahisi umekosea kidogo, najua ulitaka kuandika "Steve nimekuona kwailo tutaoana vizuri soon" point of correction
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] AmeniLakini keshafariki R.I.P ibra87 m/mungu amuondolee adhabu na awe miongoni mwa wenye kupewa makazi mema peponi,, Amiin!!!
Nilikuwa pori shemela hakuna access ya mtandao nilikumiss sana piaShemela nan alikuteka jamani nilikumiss kweli
Asante pole na majukumu nakaribu tenaNilikuwa pori shemela hakuna access ya mtandao nilikumiss sana pia
Nimeshakaribia shemelaAsante pole na majukumu nakaribu tena
Dah! Ndo maana simuoni.... R.I.PLakini keshafariki R.I.P ibra87 m/mungu amuondolee adhabu na awe miongoni mwa wenye kupewa makazi mema peponi,, Amiin!!!
Hapana.....sa hv mzee wa TAYARINmekuja japo kwa kuchelewa,vp mzee wa bado