Malimi Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,287
- 2,743
Jamani hili suala la ku-quote uzi mzima si huwa tunalikemea kila uchwao au ndio tumefikia kiwango hiki cha kutokuelewa!!!!Unawekaje odaaa bos
Mnakera kwa sisi tunaotumia simu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani hili suala la ku-quote uzi mzima si huwa tunalikemea kila uchwao au ndio tumefikia kiwango hiki cha kutokuelewa!!!!Unawekaje odaaa bos
Yaani, kazi kupasulia matofali kifuani tu baaaasi.Hawa Makondoo wetu wajinga kweli
Hahaha hahahaha nmecheka kwa sautiYaani, kazi kupasulia matofali kifuani tu baaaasi.
Huu sasa Ushoga!!Unawekaje odaaa bos
Nadhani usharud mkuuUmeme haupo huku Mbezi beach tangu asubuhi!
Hata Arusha umeme haukuwepo ndio kwanza unarudi muda huu!Umeme haupo huku Mbezi beach tangu asubuhi!
Acha undiga wwUnawekaje odaaa bos
Mbona mimi natumia simu lkn quote yake kwangu inaonekana robo page tuJamani hili suala la ku-quote uzi mzima si huwa tunalikemea kila uchwao au ndio tumefikia kiwango hiki cha kutokuelewa!!!!
Mnakera kwa sisi tunaotumia simu.
Nafikiri kama unatumia updated app ya jf ndio ina minimize hiyo quote kuwa robo.Mbona mimi natumia simu lkn quote yake kwangu inaonekana robo page tu
Mkuu update app yako itakuwa ina-preview sehemu ndogo, unless uwe unatumia tecno au Huawei maana tatizo la hakuna space ni kama chakula cha mchana vile.Jamani hili suala la ku-quote uzi mzima si huwa tunalikemea kila uchwao au ndio tumefikia kiwango hiki cha kutokuelewa!!!!
Mnakera kwa sisi tunaotumia simu.
Anaendelea kuiandika tuwe wapole jamanilStefano ebu njoo bhana, kwani umeme hujarudi?