Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ni 'me' na wewe ni 'ke' au wewe ni 'me' labda mimi ndio sijuiWe koncho we unatutafutia nini kwa "tivee " lkn ?
Mbona mkorofi hivi wewe?
Na hem nijibu kwanza hivi steve ni " ke " au "me" ?
Mpaka useme nidatishwe na sura yake?
Unaenda chaka .....
Tutakosa wote anga ....
Aisee ni kweli wewe hujui tena kwa maana ya kutojua khasa .... "ke " tena?Yeye ni 'me' na wewe ni 'ke' au wewe ni 'me' labda mimi ndio sijui
Samahani mkuu mimi nilijua wewe ni ke ahahahahAisee ni kweli wewe hujui tena kwa maana ya kutojua khasa .... "ke " tena?
Etii??
Haina neno mkuu...ila kwa nini ulijua hivyo?Samahani mkuu mimi nilijua wewe ni ke ahahahah
Aaah...tutafanyaje mkuu ndo kupatwa kwa jinsia huko....ila bado sijapata uhakika kama best yangu koncho niaje....japo niliona sehemu anaitwa" eti" shemela "eti "...na kwa wewe pia ni yale yale hatukujui kama ni .....au .....Dah ila umu ndan watu mnazngua kinyama
Yaan kila mtu anamuhic mwenzake ni ke[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mmenikumbushs mbali saan enzi izo ndo nafik Tanzania (daslam) kutoka kwetu Tanganyika vijijin uko ( mbeya ndani ndani)
Sasa kuna bro flan akawa ananambia unajua daslam kuibiwa kaz San alaf especially vituo vya daladala, nikamuuliza kwann?
Akanambia kila abiria anamuona abiria mwenzake ni mwiz so kila MTU anachunga saan
Sasa ii nimeikuta umu kumbe umu wale jamaa kila mmoja anamuona mwenzake -ke- [emoji1] [emoji1] dah mmenuvunja mbavu saan
Kwa iyo mlikua mnaviaziana au co [emoji1] [emoji1] [emoji119] [emoji119] plus lugha soft soft [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji119]
Mfikishie salamu zanguMzima wa afya kabisa
Wewe wewe wewe mimi nina bonge la sauti.Haina neno mkuu...ila kwa nini ulijua hivyo?
Kwa sababu na mimi mpaka mda huu nadhani wewe ni ke....
Ndo mana najitahidi kujibu soft soft..
Ha ha ha..
Ndio ni chonganishi. Tena zinachonganisha kweli kweli....RAMLI CHONGANISHI HAHAAAAA!!!!!!! Chonganishi???????
Ucjali shemela zmefikaMfikishie salamu zangu