Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]We tulia tu. Utajuta kutufikia...!
Samahani mzee baba ni mmoja Wapo nilietia comment yenye mauzi kidg "umuanza kuchacha " samahani kwa hili[emoji5]Huiwezi kuiwacha. Nitapambania hilo. Utakuja hata kwa kuibia.
Aisee,..!!!! Wasamehe bure tuTangu mara ya kwanza naweka simulizi hapa nilifahamu fika ni kama vile nimejishtaki kwa kila kiumbe kutoa.maoni yake kwa namna ajisikiavyo. Na hata mara nyingine mtu asijali ama akisahau kwamba nawe ni binadamu na unapitia.matatizo vilevile kama wao.
Nilitoa tahadhari bayana kuwa simulizi hii huandikwa na kutumwa, si kwamba imerekodiwa tayari. Na pia hapa juzi nikaweka wazi ya kwamba nilipotewa na simu yangu niliyokuwa naitumia kuandikia. Hata hivyo, baada ya kupata hii simu mpya, ambayo kiuhalisia nilipewa tu na mmoja wa simulizi zangu, simu hii imekuwa ikinipa matatizo haswa.
Si tu kwamba sijaizoea, bali pia uwezo wake ni hafifu hivyo hunichukua muda sana kuandika na hata kuingia mitandaoni. Napata taabu.
Sikuwapo humu mtandaoni kwa muda, nadhani ni stara tukaangalia last seen ya mtu kabla hatujatoa hukumu. Niwatazame mkihangaika, au nifanye kusudi kwa mali yani? Kufaidika nani? Sina haja ya michezo hiyo ya kijita kujitia upumbavu.
Na sipati kirutubisho chochote kumtesa mja wa mtu. Tuulizane wajama na huo ndiyo utu.
Mbali na hapo, sitafuta kauli yangu, nitamaliza nilichokianzisha. Haijalishi.kwa kina gani cha bahari. Au.kwa ncha gani za milima.
Nashukuru maana hamjachoka.na mimi. Mungu akijaalia ntajisogeza tena kesho tuendelee. Samahani kuwakwaza ila sijadhamiria hata lepe.
Huiwezi kuiwacha. Nitapambania hilo. Utakuja hata kwa kuibia.
Usitaje aina ya simu mkuu kama kuchanga tuchange tu atanunua simu ya hela itakayopatikanaTumnunulie Stive simu wadau , NOTE 8 SAMSUNG mi na pledge laki 2 haya sasa twende kazi
Hbr ya kuadimika jrani
Pole na hongeraNipo tu Nlikuwa nalainisha Vyuma angalau sasa kuna Unafuu
Aweke namba zake sasaBaby ndio nimefika ebu humu wote tunaosoma tumchangieni tivu anunue simu wote tunaofatilia story tuseme labda kila mtu amchangie labda kwa mfano elf 10 tivu hawezi kosa simu nzuri
@SteveMollel weka no tivu watu wakuchangie hela ununue simuAweke namba zake sasa
Nilijua tuu ukija watu waliokulaumu watajilaumi waoTangu mara ya kwanza naweka simulizi hapa nilifahamu fika ni kama vile nimejishtaki kwa kila kiumbe kutoa.maoni yake kwa namna ajisikiavyo. Na hata mara nyingine mtu asijali ama akisahau kwamba nawe ni binadamu na unapitia.matatizo vilevile kama wao.
Nilitoa tahadhari bayana kuwa simulizi hii huandikwa na kutumwa, si kwamba imerekodiwa tayari. Na pia hapa juzi nikaweka wazi ya kwamba nilipotewa na simu yangu niliyokuwa naitumia kuandikia. Hata hivyo, baada ya kupata hii simu mpya, ambayo kiuhalisia nilipewa tu na mmoja wa simulizi zangu, simu hii imekuwa ikinipa matatizo haswa.
Si tu kwamba sijaizoea, bali pia uwezo wake ni hafifu hivyo hunichukua muda sana kuandika na hata kuingia mitandaoni. Napata taabu.
Sikuwapo humu mtandaoni kwa muda, nadhani ni stara tukaangalia last seen ya mtu kabla hatujatoa hukumu. Niwatazame mkihangaika, au nifanye kusudi kwa mali yani? Kufaidika nani? Sina haja ya michezo hiyo ya kijita kujitia upumbavu.
Na sipati kirutubisho chochote kumtesa mja wa mtu. Tuulizane wajama na huo ndiyo utu.
Mbali na hapo, sitafuta kauli yangu, nitamaliza nilichokianzisha. Haijalishi.kwa kina gani cha bahari. Au.kwa ncha gani za milima.
Nashukuru maana hamjachoka.na mimi. Mungu akijaalia ntajisogeza tena kesho tuendelee. Samahani kuwakwaza ila sijadhamiria hata lepe.
Kuna wengine roho zao zichakuwa nyeusi Kwa kulaumu wengine,hivyo hawajaliNilijua tuu ukija watu waliokulaumu watajilaumi wao
Sasa kwa maneno haya si huko waliko roho zinawauma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tivu hujambo kijana??
Pole na majukum asee
Nimekuwa nikipita hapa kimya kimya nilivokakuta tuu weee moyo ukapiga paaa na nilikuwa nimemfuata mdeni wangu nikasahau kilichonipeleka