Pre GE2025 Angalia CCM jinsi wamemtuma Kijakazi Yunus Kumhoji Tundu Lissu kwa Kivuli cha Clouds Media

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe ni mnufaika wa pesa za mbowe anazoiba chadema usikute wewe ndiyo ulitumwa upeleke pesa kwa huyo dada lakini mmeihia kupata Aibu na mbowe awadai pesa zake
 
Anakwenda kwa Lissu na kumtaka Lissu aulize maswali! Ni bora zaidi angekaa nyumbani kwake afue nepi za kitendamimba wake.
 
Lisu ndie proffessional? Anayesema Ohhh Mbowe asigombee kakaa muda nrefu madarakani

Wakati katiba ya Chadema inamruhusu Mbowe kugombea sababu katiba ya Chadema haina huo ukomo

Hapo waweza sema Lisu ni proffesinal na hilo genge la timu yake?
Hivi kwanini washabiki wa CCM ni waongo kuliko baba wa uongo shetwani!!??
Naomba kipande cha video ambacho Lissu anaonekana na kusikika akitamka kuwa Mbowe asigombee!
 
Akhsante sana kwa uchambuzi bora na makini kwa ufupi.
Kongole sana ndugu The Palm Beach kwa kuyaona na kuyaelezea kiuhalisia yale yaliyofanywa na huyo Kijakazi wa Clouds.
 
Hivi kwanini washabiki wa CCM ni waongo kuliko baba wa uongo shetwani!!??
Naomba kipande cha video ambacho Lissu anaonekana na kusikika akitamka kuwa Mbowe asigombee!
Baada ya kuzodoa humu naona baadhi yenu akili zimewarudi sasa mnaona logic ya Mbowe kugombea sawa na katiba ya Chadema isemavyo

Mpaka ifike tarehe 21 siku ya uchaguzi akili zenu zitakuwa zimekaa sawa
 
Baada ya kuzodoa humu naona baadhi yenu akili zimewarudi sasa mnaona logic ya Mbowe kugombea sawa na katiba ya Chadema isemavyo

Mpaka ifike tarehe 21 siku ya uchaguzi akili zenu zitakuwa zimekaa sawa
Weka kipande cha video kinachoonyesha na kusikika Lissu akisema Mbowe asigombee!

Usipoweka,wewe ni tapeli na muongo kama baba wa uongo alivyo
 
Wewe ni mnufaika wa pesa za mbowe anazoiba chadema usikute wewe ndiyo ulitumwa upeleke pesa kwa huyo dada lakini mmeihia kupata Aibu na mbowe awadai pesa zake
utumwa uliisha Tanazania kitambo sana gentleman,

wavivu wachache mliobaki ndiyo hawa mnao manga manga kwa mihemko na ghadhabu zisizo na kichwa wala miguu 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…