Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

Billion 7 pesa YA flyover kabisa, kinachoniumiza mm Ni tozo lukuki ninazokatwa kila siku alafu watu wanakuja kirahis hivi.
 
Matokeo ya mama yako kutiwa gesti ndio haha Sasa katoa taahira huku anatuletea mzigo Taifa
Wewe unayejipendekeza ili uteuliwe ndiyo huna mwelekeo matokeo yake wenzako wanakubokoa tu kwa ahadi kuwa utateuliwa, utaliwa sana lakini hakuna teuzi za kishoga safari hii
 
Wizi mtupu mi niko hapa sina nauli hata ya kwenda dom kufanya usahili ila watu wanachezea pesa za umma vibaya
 
Ni sahhi kabisa, hiyo hela mbona ndogo sana. Mchanganuo ni kama ufuatavyo:

1. Gharama ya kuwaomba mamba wapishe ujenzi ni Tsh 1.1b

2. Upembuzi yakinifu ni 700m

3. Gharama ya material ni Tsh 2.7b

4. Mhandisi amelipwa Tsh 1.5b

5. Vibarua ni Tsh 700m

6. Malipo ya samaki ili wapishe ujenzi kwa muda ni Tsh 500m
 
Angalia akili yako sasa. Unajua Moshi na Bukoba inajengwa na wakazi husika je wewe kama mtu wa Rufiji umejenga nini?
Barabara na madaraja ya Moshi yamejengwa na watu wa Moshi!?..shule,hospitali walichanga wanamoshi wakajenga!?..
 
Kule kwetu kama unaenda utadhani upo katika hadithi za vitabuni zama.za utumwa. Sijui nini kifanyike kutoa hii jamii katika usingizi mzito. Kule sijui kupo vipi wana mali nyingi sana ardhi nzuri na misikiti imejaa utadhani ndio Waarabu wenyewe.
Ulichoona ni misikiti tu,ndiyo tatizo kwako!?..
 
Mpaka mama aje kutoka madarakani nchi itakuwa imebaki mifupa mitupu
 
Wabongo kwa kukosoa hata mambo tusioyajua tunakaza matako kukosoa wananchi wameshapata daraja hawatasumbuka kipindi cha mafuriko kwann serikali isipongezwe kama linashida takukuru watafanya kazi yao cha msingi mwananchi ashaondokana na changamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…