Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Ngumu mkuu, ipo A03 ila nayo sio all around nzuri, ina perfomance tu nzuri ila mambo mengine kawaida.kwa budget ya laki 330k naweza pata Samsung nzuri?..
Unless ununue used simu kama S9.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngumu mkuu, ipo A03 ila nayo sio all around nzuri, ina perfomance tu nzuri ila mambo mengine kawaida.kwa budget ya laki 330k naweza pata Samsung nzuri?..
inapokea android ngapi mwisho?..Ngumu mkuu, ipo A03 ila nayo sio all around nzuri, ina perfomance tu nzuri ila mambo mengine kawaida.
Unless ununue used simu kama S9.
redmi 10C ninayo kama atahitaji atanicheki..Tafuta Redmi 10C mkuu, weka GCAM utapata decent camera.
S9 Android 10, A03 Android 11inapokea android ngapi mwisho?..
Kama una 10C achana na A03 unadowngrade.redmi 10C ninayo kama atahitaji atanicheki..
hivi hii 10c itapokea android 13 kweli?Kama una 10C achana na A03 unadowngrade.
Pengine itapokeahivi hii 10c itapokea android 13 kweli?
aah poa..vipi kuhusu pixel 3a xl..Pengine itapokea
unaishindanisha na samsung gani?.aah poa..vipi kuhusu pixel 3a xl..
Pixel 3A ni midrange inayofocus kwenye camera, Samsung hawana like to like ya simu kama Pixel 3A, simu nyingi za Samsung ni premium All arounder hazi focus kwenye kitu kimoja.unaishindanisha na samsung gani?.
bos samahan tena kati ya samsung a71 quantam 5g na vivo x80 pro 5g ipi vnzr zaid hapo???kuna jamaa anayo hiyo vivoPixel 3A ni midrange inayofocus kwenye camera, Samsung hawana like to like ya simu kama Pixel 3A, simu nyingi za Samsung ni premium All arounder hazi focus kwenye kitu kimoja.
Hio vivo ni nzuri sana. Sema kuwa makini thamani ya hio vivo ni kama 2mbos samahan tena kati ya samsung a71 quantam 5g na vivo x80 pro 5g ipi vnzr zaid hapo???kuna jamaa anayo hiyo vivo
kwahiyo kwa ushauri wako bora samsung..Pixel 3A ni midrange inayofocus kwenye camera, Samsung hawana like to like ya simu kama Pixel 3A, simu nyingi za Samsung ni premium All arounder hazi focus kwenye kitu kimoja.
Kwa bajeti hyo achana na Samsung , agiza MInikiwa na budget ya laki 330k naweza kupata Samsung aina gani ambayo ni nzuri..
mi ngapi?..Kwa bajeti hyo achana na Samsung , agiza MI
now natumia redmi 10CKwa bajeti hyo achana na Samsung , agiza MI
Redmi note 10 unapata ram 6 ROM 128 , agiza China used , unapata Kwa hyo bei , ukitaka mpya bei imechangamka kidogmi ngapi?..
mda gani itachukua?..Redmi note 10 unapata ram 6 ROM 128 , agiza China used , unapata Kwa hyo bei , ukitaka mpya bei imechangamka kidog
Inategemea unataka nini mkuu, mfano kuna mawinga kkoo maisha yao yote wanategemea Camera za simu ina make sense kununua Pixel kama hii.kwahiyo kwa ushauri wako bora samsung..
nimekupata mkuu.. wewe unatumia simu gani?Inategemea unataka nini mkuu, mfano kuna mawinga kkoo maisha yao yote wanategemea Camera za simu ina make sense kununua Pixel kama hii.
Kuna mwengine mtu wa field ukaaji chaji ni muhimu hii pixel 3a haitamfaa.
So angalia matumizi yako mkuu unahitaji simu ya aina gani.