Mbongo ukiwa kwa mabeberu ni hatari sana, unaweza kumpa michongo mwisho wa siku anakusagia kungun na kukuchomesha! Wabongo tuna pepo la ubinafsi, hata viongozi wetu serikalini tunawaona.Exceptional kwa wapemba! Wana umoja!
Nenda U.S. nenda U.K., nenda Sweden Norway, watz, hawana asili ya kushikana, roho za kwanini kwa asilimia kubwa, wanaoweza kushikana labda watu wa familia 1.
Wenzetu bamutubaCongo, Ghanaians, Naija, Ethiopians, Somali, Waganda wanashikana ndiyo maana wana diaspora community tofauti na sisi.
Everyday is Saturday................................😎
Watu wanavyotishiana unaweza usiende milele mimi hawa majambazi naona sio hatari zaidi kuliko wasiojulikana wanaotumia vitendea kazi vyetu watu wanakuchukua kwa vitambulisho kumbe unaenda kuuawa...Wazulu wameng'oa hadi mataruma ya Reli huko sio pa kwenda kwa miaka hii
Mkubwa komenti yako nimekuelewa sana. I wish nipate madini zaidi kutoka kwako.Tatizo kubwa la wa TZ wanaojitolea kutoka nje ya nchi kutafuta Maisha wengi ni wale ambao wana hali mbaya sana, Hawana mitaji wala hawana elimu, hii inatokana kuwa wa TZ wengi ni watu walioridhika na umaskini. Mtu akipata kijiajira cha ualimu tu anatulia tuliii na kijimshara cha laki 6.
Nipe mda ntakupa mrejesho but Kodi ya nyumba inategemea kma unapanga chumba au apartment kma chumba Bei ya chini Rand 500 ila geto lenye uafadhali kuanzia Rand 1000 saw na tsh 180000 kwa mtaji wa milion 20 unatusua biashara nzuri min market "duka" huku watu wananunua kilakitu KUHUSU Kodi huku Kodi ni Bei Chee mtu anafungua na kusajiri kampuni ndogo kwa Randi 1000Ndugu huko SA kwa mtaji kama wa 20m-22m biashara gani ambayo inaweza kumtoa mtu fasta fasta
Kodi ya fremu wastani ni kama shingapi
Gharama ya chumba cha kukaa ni kama shingapi
Kodi za serikali, umeme,maji
Fikiria hizo gharama zote zinatoka kwenye hiyo hiyo capital.
Kweli jmaa ni watandikaSio mtoto wa tandika mtaa was likwale aliyeuliwa au sio huyo
Nuksi kweli mbongo anamuua mbongo mwenzie nchi watu kisa deni
Sema tayari watasomewa hukumu popote walipo waliomuua wanajulikana na hakuna atakayekwepa uzuri taarifa zimeenea kwa wengi huko sa na moza
Hee unapigwaje vita?Ungejua hata hapa napigwa vita balaa..yaan nashangaa....
Sasa na wwe si uumpe Mtaji Shemeji yako aache kuomba bia bar!!Amedata..anashinda anaomba bia bar
Watu wengi wanakua na mawazo Mazuri sana kabla hawajapata pesa! Wakisha pata hiyo pesa Sasa ndiyo utawajua kua yale mawazo ya Mwanzo hayakua yao,yalikua mawazo ya Shida tu!!Hata mm ningejipa 3yrs ningejenga aise..ningeacha anasa zote
Sio wote ..mie huwa naandika nakua naimba daily..lolWatu wengi wanakua na mawazo Mazuri sana kabla hawajapata pesa! Wakisha pata hiyo pesa Sasa ndiyo utawajua kua yale mawazo ya Mwanzo hayakua yao,yalikua mawazo ya Shida tu!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nimeoa wawili?alikua anang'ang'ana aje migodini kule sasa ndo angekufa kwa kunywa mipombr ya bure ah wap ...nampaga za kula tu na tena nampa mkewe maana ndo anatesekaSasa na wwe si uumpe Mtaji Shemeji yako aache kuomba bia bar!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ngumu kuielewa na kuaiamini ..! Kuna mafamilia mengine yanahisi mwanamke akiwa ana kipato kikubwa bas ni kama laana😆! Nawacheki kwa mbali nasema nhiiiiHee unaoigwaje vita?
Ume'prove' wewe kama wewe ila upande wa amaphoyisa wakikukamata au wadau wengine wanasema ni mtanzania, na ndiyo imeshaharibika hivyo mkuu!.Wezi wengi siyo watz bali ni majirani zetu ndio hupenda kujitambulisha kama watz lakini diyo! Hii nimesha'prove' mara nyingi tu! Ukiongea naye utagundua kiswahili chake siyo kabisa!