Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

Mbongo ukiwa kwa mabeberu ni hatari sana, unaweza kumpa michongo mwisho wa siku anakusagia kungun na kukuchomesha! Wabongo tuna pepo la ubinafsi, hata viongozi wetu serikalini tunawaona.
 
Wazulu wameng'oa hadi mataruma ya Reli huko sio pa kwenda kwa miaka hii
Watu wanavyotishiana unaweza usiende milele mimi hawa majambazi naona sio hatari zaidi kuliko wasiojulikana wanaotumia vitendea kazi vyetu watu wanakuchukua kwa vitambulisho kumbe unaenda kuuawa...
 
Mkubwa komenti yako nimekuelewa sana. I wish nipate madini zaidi kutoka kwako.
 
Nipe mda ntakupa mrejesho but Kodi ya nyumba inategemea kma unapanga chumba au apartment kma chumba Bei ya chini Rand 500 ila geto lenye uafadhali kuanzia Rand 1000 saw na tsh 180000 kwa mtaji wa milion 20 unatusua biashara nzuri min market "duka" huku watu wananunua kilakitu KUHUSU Kodi huku Kodi ni Bei Chee mtu anafungua na kusajiri kampuni ndogo kwa Randi 1000

Kma una huo mtaji nenda miji ya pembezon kma mpumalanga,polokwane,East London, huko utatoboa pia gharama za maisha siyo kubwa pia kwa mtaji huo unaweza hata nunua gari mbili ukaziuza Mozambique unapata pesa
 
Kweli jmaa ni watandika
 
Tangu nmepata akili miaka ya 1990s esp enzi zile kila nyumba au familia kuna mtu kazamia bondeni mpaka leo sijawahi kuona mtu katoka south kafanikiwa mazima naonaga ni mashauzi ya wiki kadhaa baada ya hapo ni msoto kwa kwenda mbele. Sikuhizi naona wanaorudi wamechoka zaidi naona wametoboa masikio vipuri vinaning'inia basi
 
Wezi wengi siyo watz bali ni majirani zetu ndio hupenda kujitambulisha kama watz lakini diyo! Hii nimesha'prove' mara nyingi tu! Ukiongea naye utagundua kiswahili chake siyo kabisa!
Ume'prove' wewe kama wewe ila upande wa amaphoyisa wakikukamata au wadau wengine wanasema ni mtanzania, na ndiyo imeshaharibika hivyo mkuu!.
 
Jana nilimsoma Charles Onyango Obbo wa the Vision la Uganda nikamuelewa sana

Hata hao Wasomali na Wanaijeria wanauwawa sana
 
Tanzanian tunasifa mbaya siku hizi kimataifa. Kwa mfano nilipofika huku nilipo Qatar moja kwa moja nilitengwa pekee yangu maana bongo taarifa zilizopo eti Kuna korona sugu. Hivyo nilifanyiwa vipimo balaa pamoja na kwamba Nina cheti changu Cha korona kile Cha 100$ lakini wapi dah. Nikapigwa Karantini wiki tatu aise siyo poa kabisa. Na Kila kitu nilikuwa najinunulia Mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…