Angalizo la usalama: Hala Hala kabla ya Hatari, "Johh Pambalu aongezewe ulinzi!"

Angalizo la usalama: Hala Hala kabla ya Hatari, "Johh Pambalu aongezewe ulinzi!"

Aliambiwa aende ualimu akaona siasa za kinafiki anaziweza..

Sasa asubiri aone, siasa imeisha na ualimu ni interview...kupanga ni kuchagua

Anakukera vipi hapo Sasa, ewe mfuasi Mbowe?

Ninakazia :

Aongezewe ulinzi John Pambalu!
 
Madrasa ni heshima sana ukiwiva kuliko hata siasa

Ushauri wa bure, "baki huko huko, huku hakukufai!

MK254 hebu ona hii mitu.

Wapuuzi kama nyie mnasababisha unyama wa Gaza kutamalaki. Hamjui mnataka au hamtaki nini.

Bure kabisa!
 
Ushauri wa bure, "baki huko huko, huku hakukufai!

MK254 hebu ona hii mitu.

Wapuuzi kama nyie mnasababisha unyama wa Gaza kutamalaki. Hamjui mnataka au hamtaki nini.

Bure kabisa!
Anaesabibisha maangamizi Gaza humjui au unajifanya mwehu? Wewe kama askofu wako unamsjudia kwanini na mimi nisione madrasa ni bora kuliko siaasa?
 
Bila shaka kama ya Slaa kukamatwa, kutekwa Kwa Maria ma CCM, mwamba na wafuasi wake mliserebuka vilivyo!

Nani asiyejua mtu mikononi mwa wateka nyara salama yake leo na hata kesho, kisaikolojikali au hata physically hubaki hati hati?

Nani aliwahi kusema alitendewa nini au hata kuwa coherently baada ya tukio?

Hivi sumu au sindano zenye madhara ya leo, kesho, mwakani au hata baada ya miaka 10 huwa wateka nyara huwa hamzitumii?

Vipi ubakaji na udhalilishwaji wa aina zote za ushetani?

Au utekaji una rules zipi za engagement?

Uongo mbaya:

"Mnatutia hasira sana ndugu!"
Mimi sio CCM ,niondolee hio nuksi ila kwa Maria aingii akilini hata kidogo.
 
Anaesabibisha maangamizi Gaza humjui au unajifanya mwehu? Wewe kama askofu wako unamsjudia kwanini na mimi nisione madrasa ni bora kuliko siaasa?

Lissu anawaunga mkono Gaza, ninawaunga mkono Gaza, pia wapo wengi wengine wanaowaunga mkono Gaza, lakini si katika dhana duni kabisa kama yako na wehu wenzio.

Bure kabisa!
 
Bila shaka kama ya Slaa kukamatwa, kutekwa Kwa Maria ma CCM, mwamba na wafuasi wake mliserebuka vilivyo!

Nani asiyejua mtu mikononi mwa wateka nyara salama yake leo na hata kesho, kisaikolojikali au hata physically hubaki hati hati?

Nani aliwahi kusema alitendewa nini au hata kuwa coherently baada ya tukio?

Hivi sumu au sindano zenye madhara ya leo, kesho, mwakani au hata baada ya miaka 10 huwa wateka nyara huwa hamzitumii?

Vipi ubakaji na udhalilishwaji wa aina zote za ushetani?

Au utekaji una rules zipi za engagement?

Uongo mbaya:

"Mnatutia hasira sana ndugu!"
Wewe nae akili ndogo.
 
Wametekwa kina Maria, Kibao, Soka, Kipanya na wengi wengine.

Kwa hotuba hii ya John Pambalu:

View attachment 3201398

Bila shaka ujumbe utakuwa umewafikia akiwamo mwamba, wazi wazi kuwa:

"Pesa kitu gani?"

Kwamba, pesa makaratasi!

Wanadhibitiwa vipi wasionunulika hawa? Kwani Lissu kushambuliwa suala la kutofika bei kwake, halikuhusika?

Salama ya wasionunulika hawa, ni kwa maslahi mapana ya taifa hili.

Aongezewe ulinzi John Pambalu!
ndio nani huyo gentleman 🐒
 
ndio nani huyo gentleman 🐒

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Back
Top Bottom