Angalizo la usalama: Hala Hala kabla ya Hatari, "Johh Pambalu aongezewe ulinzi!"

Aliambiwa aende ualimu akaona siasa za kinafiki anaziweza..

Sasa asubiri aone, siasa imeisha na ualimu ni interview...kupanga ni kuchagua

Anakukera vipi hapo Sasa, ewe mfuasi Mbowe?

Ninakazia :

Aongezewe ulinzi John Pambalu!
 
Madrasa ni heshima sana ukiwiva kuliko hata siasa

Ushauri wa bure, "baki huko huko, huku hakukufai!

MK254 hebu ona hii mitu.

Wapuuzi kama nyie mnasababisha unyama wa Gaza kutamalaki. Hamjui mnataka au hamtaki nini.

Bure kabisa!
 
Ushauri wa bure, "baki huko huko, huku hakukufai!

MK254 hebu ona hii mitu.

Wapuuzi kama nyie mnasababisha unyama wa Gaza kutamalaki. Hamjui mnataka au hamtaki nini.

Bure kabisa!
Anaesabibisha maangamizi Gaza humjui au unajifanya mwehu? Wewe kama askofu wako unamsjudia kwanini na mimi nisione madrasa ni bora kuliko siaasa?
 
Mimi sio CCM ,niondolee hio nuksi ila kwa Maria aingii akilini hata kidogo.
 
Anaesabibisha maangamizi Gaza humjui au unajifanya mwehu? Wewe kama askofu wako unamsjudia kwanini na mimi nisione madrasa ni bora kuliko siaasa?

Lissu anawaunga mkono Gaza, ninawaunga mkono Gaza, pia wapo wengi wengine wanaowaunga mkono Gaza, lakini si katika dhana duni kabisa kama yako na wehu wenzio.

Bure kabisa!
 
Wewe nae akili ndogo.
 
ndio nani huyo gentleman šŸ’
 
Anakukera vipi hapo Sasa, ewe mfuasi Mbowe?

Ninakazia :

Aongezewe ulinzi John Pambalu!
Tulia wazalendo wanaendelea kulamba vumbi huko, hujasikia Bazecha🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…