Angalizo la usalama: Hala Hala kabla ya Hatari, "Johh Pambalu aongezewe ulinzi!"

Sasa mbona mchana kutwa uko kwenye jukwaa la siasa ? Huna lolote mnafiq mkubwa wewe.
Wakati wa msikitini naenda, usiku nakuwa msikitini madrsa. Wakati mwengine nawashawishi makafiri kama nyinyi ili muone nuru ktk uislam
 
Kwani wewe una shughuli gani ya maana zaidi ya kuishi kwa uchawa tu
 
Namuona John Pambalu kwenye Uenyekiti wa CHADEMA miaka ijayo kwasasa apewe Jimbo aingie Bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…