Angalizo la usalama: Hala Hala kabla ya Hatari, "Johh Pambalu aongezewe ulinzi!"

Kwa kweli CHADEMA ina hazina kubwa sana,hongera sana John Pambalu kwa maono yako makubwa.
 

Huyu alishindajwe na Wenje kanda ya ziwa? Pambalu anapiga vita rushwa, Wenje anatetea rushwa za Abdul?

Alishinda kwa msaada na udhamini wa Abdul na mama Abdul?
 
Aliambiwa aende ualimu akaona siasa za kinafiki anaziweza..

Sasa asubiri aone, siasa imeisha na ualimu ni interview...kupanga ni kuchagua
Wewe ni mpumbavu Sana yaani ualimu nayo ni kazi ya mtu kuijutia??? Walahi tuna vijana wa Hivyo Sana,,, Kuna sekondar ngapi za serikali unaweza kukuta waalimu wamekuja kazini na nje kwenye parking zimejaa RANGE,,,
 
Wewe ni mpumbavu Sana yaani ualimu nayo ni kazi ya mtu kuijutia??? Walahi tuna vijana wa Hivyo Sana,,, Kuna sekondar ngapi za serikali unaweza kukuta waalimu wamekuja kazini na nje kwenye parking zimejaa RANGE,,,
Endelea kudanganya wajinga wenzako, ajira ya serikali ni security.

Subiri uuguze tegemezi kama unaye halafu huna bima utaimba Yesu ni bwana.
 
Endelea kudanganya wajinga wenzako, ajira ya serikali ni security.

Subiri uuguze tegemezi kama unaye halafu huna bima utaimba Yesu ni bwana.
Kwa hiyo wote ambao hawana ajira serikalini hawana security??? Hili ni tusi Kwa wakulima na wafanyabiashara wa Nchi hii tunaolipa Kodi,, Inatakiwa uporwe cheti Cha chuo kama unacho Ili ubaki kuwa tegenezi maana inaonekana elimu haijakusaidia chochote Zaidi ya kuwa tegemezi Kwa serikali ikupe security
 
An idiot and brainwashed mind,, utakufa maskini wewe,, Kama security Yako ni ajira ya UALIMU!!!
Idiot ni Baba yako mzazi kwa kuzaa toto pumbavu kama wewe asiyejuwa heshima ya walimu.

Stupid Bar vichaa.
 
Hakika Hakika Hakika Hakika HAKIKA.....Tifa lina HAZINA...


Mungu ibariki Chadema!!!!
Sasa wanampa pesa!!! Je sio ruswa!!!! Mbowe nae akiguswa nawewe kama walivoguswa ao nyumbu wengine sasa Mbowe akatoa milion 5 kumpa itaesabiwa nayeye kaguswa kama wengine au yeye amempa rushwa!!!!
 
Hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…