KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
- Thread starter
-
- #21
Umenipa elimu mpya ndugu.....nitakodoa sana macho....... nadhani wabongo wengi wizi upo kwenye DNAJitahidi kuwa unachungulia mzani kutokana bei elekezi iliyobandikwa.
Nimezingatia dawa kwa kuwa suala nyeti ndugu.....lakini najua wabongo upigaji upo kwenye DNASiyo dawa tu..almost biashara zote
Kama unalijuja umeenda kufanya nn mtaanHabari za wakati huu ndugu zanguni.........
Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.......
Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki......
Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.........
Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali......
Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.......
Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa....nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua........
Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam.....ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo......
Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine.....nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa......
Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu)....nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi....nilishtuka sana....kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakinj ndio basi tena ikawa nimeshapigwa.....yule binti mpaka leo ananionea haya......
NB;
Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.......
Kwa kuwa nimeona lipo karibu na ni mtu niliyekuwa namuamini sanaKama unalijuja umeenda kufanya nn mtaan
Relax
Dawa na vitendanishi kwenye Mafamasi makubwa bei yake ni cheap mnoo...ila huku mitaani bei iko juu. Mfano kile kipimo cha mimba,phamacy kubwa huuzwa kwa sh 100 mpka 300. Lakini mitaani huuzwa 1500 mpka 2500Nimezingatia dawa kwa kuwa suala nyeti ndugu.....lakini najua wabongo upigaji upo kwenye DNA
Kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= ni parefu sana sio hatua bali ni msamba......Pole sana.
Hiyo ni biashara kama biashara nyingine, usichanganye na 'huduma'.
Huenda ikawa huyo aliyekuuzia naye alipigwa, inabidi auze bei hiyo ili kurudisha pesa yake.
Nimejifunza kitu....Dawa na vitendanishi kwenye Mafamasi makubwa bei yake ni cheap mnoo...ila huku mitaani bei iko juu. Mfano kile kipimo cha mimba,phamacy kubwa huuzwa kwa sh 100 mpka 300. Lakini mitaani huuzwa 1500 mpka 2500
OK mkuu ila ungetaja jina la pharmacy wengine wasaidike piaKwa kuwa nimeona lipo karibu na ni mtu niliyekuwa namuamini sana
Ni hatari ndugu yangu...... unaweza ukajifia kwa kutajiwa bei kubwa kumbe ni tamaa tu wauzajiDuh udalali mpaka kwenye afya za watu?
Newton's third law of motionPole sana.
Hiyo ni biashara kama biashara nyingine, usichanganye na 'huduma'.
Huenda ikawa huyo aliyekuuzia naye alipigwa, inabidi auze bei hiyo ili kurudisha pesa yake.
DUKA LINAITWAOK mkuu ika ungetaja jina la pharmacy wengine wasaidike pia
ThxDUKA LINAITWA
FARU PHARMACY......nadhani atakuwa ana matawi sehemu mbali mbali.....
Jd wazuri sanaKama sio BIMA huwa naenda HEKO Pharmacy, JD
Kama ambavyo ccm hawana huruma na wauza madawa nao hivyo hivyo.Habari za wakati huu ndugu zanguni.........
Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.......
Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki......
Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.........
Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali......
Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.......
Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa....nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua........
Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam.....ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo......
Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine.....nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa......
Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu)....nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi....nilishtuka sana....kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakinj ndio basi tena ikawa nimeshapigwa.....yule binti mpaka leo ananionea haya......
NB;
Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.......
Kabisa Sasa hivi Kuna upandaji holela wa DawaHabari za wakati huu ndugu zanguni.........
Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.......
Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki......
Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.........
Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali......
Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.......
Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa....nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua........
Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam.....ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo......
Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine.....nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa......
Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu)....nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi....nilishtuka sana....kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakinj ndio basi tena ikawa nimeshapigwa.....yule binti mpaka leo ananionea haya......
NB;
Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.......