DOKEZO Angalizo: Utapeli na wizi kwenye maduka ya Pharmacy/ biashara ya dawa za binadamu

DOKEZO Angalizo: Utapeli na wizi kwenye maduka ya Pharmacy/ biashara ya dawa za binadamu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hio ipo kwenye biashara zote. Hawa wauzaji hawafikirii mbali. Angesema 8,000 wala usingejali ungeona 2,000 yake ya usumbufu ila wana tamaa sana. Matokeo yake anapoteza mteja.
Wanafikiria mbali vizuri tu, na hawapotezi wateja wala. Nina rafiki yangu graduate wa pharmacy kanitangulia kuhitimu kama miaka miwili. Ana pharamacy na net income yake kwa mwaka ni zaidi ya 50 million na wala sina dalili za kuambulia kumkaribia kwenye biashara yangu ninayofanya kwa kuongeza hizo 2,000 kwenye 6,000. Wakati kahitimu akimiliki bodaboda tu sasahivi anajenga na ana maduka ya madawa mawili na biashara nyingine ndogo aliyoanza nayo.

Kupoteza mteja mmoja aliyegundua duka la jumla haimaanishi ndio biashara imekufa. Kwanza hata huyo OP aliyenunua dawa kwa 6,000 sio sawa na anayenunua dawa nyingi au dawa aina tofauti mara nyingi. Hiyo 6,000 bado sio bei yake halisi. Huwa nanunua vipimo vya HIV kwa msambazaji wa vifaa tiba 15,000 vipo 20 wakati vile ukienda polyclinic kupima ni 5,000 hivyo vipimo 20 wanapata 50,000.

Jambo la kuepuka ni kununua dawa ya bei nafuu kwa bei ghali, unaenda hospitali private unapima unaambiwa utachomwa sindano 5 na kila sindano 20,000. Wanakuandikia jina la sindano ya bei ghali ile, ila wanakuchoma sindano nyingine sawa na ile ila ya bei nafuu kama 8,000 hivi.
 
Nilichojifunza kwa hapa dar kama ni mtumiaji wa dawa endelevu jaribu sana kununua kwenye maduka wanayouza madawa kwa jumla na rejareja.

Bi. Mkubwa ni mgonjwa wa sukari na kuna dawa anatumia kila siku. Nilikuwa nanunua pharmacy moja tabata ambapo kuna dawa walikuwa wananiuzia dozi moja laki na 15.

Siku moja nikiwa katika mizunguko yangu nikakumbuka dawa zinakaribia kuisha, nikaingia Mdee Pharmacy Mnazi Mmoja, dawa zile zile nilizinunua 45,000. Kuuliza utofauti mkubwa wa bei wakasema wao wanauza bei ya jumla sababu wananua bohari kuu moja kwa moja.

Biashara ya dawa za binadamu ina upigaji na uchakachuaji mkubwa sana.
 
Habari za wakati huu ndugu zanguni.........

Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.......

Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki......

Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.........

Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali......

Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.......

Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa....nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua........

Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam.....ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo......

Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine.....nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa......

Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu)....nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi....nilishtuka sana....kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakinj ndio basi tena ikawa nimeshapigwa.....yule binti mpaka leo ananionea haya......

NB;
Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.......
Tatizo hawatoi risiti za kieletroniki.
 
Haya mambo yapo dunia nzima kiongozi ndio biashara ilivyo hapa kununua ozempic ni $2000 lkn UK na Germany same drug ni $200 hadi $300
 
Wanafikiria mbali vizuri tu, na hawapotezi wateja wala. Nina rafiki yangu graduate wa pharmacy kanitangulia kuhitimu kama miaka miwili. Ana pharamacy na net income yake kwa mwaka ni zaidi ya 50 million na wala sina dalili za kuambulia kumkaribia kwenye biashara yangu ninayofanya kwa kuongeza hizo 2,000 kwenye 6,000. Wakati kahitimu akimiliki bodaboda tu sasahivi anajenga na ana maduka ya madawa mawili na biashara nyingine ndogo aliyoanza nayo.

Kupoteza mteja mmoja aliyegundua duka la jumla haimaanishi ndio biashara imekufa. Kwanza hata huyo OP aliyenunua dawa kwa 6,000 sio sawa na anayenunua dawa nyingi au dawa aina tofauti mara nyingi. Hiyo 6,000 bado sio bei yake halisi. Huwa nanunua vipimo vya HIV kwa msambazaji wa vifaa tiba 15,000 vipo 20 wakati vile ukienda polyclinic kupima ni 5,000 hivyo vipimo 20 wanapata 50,000.

Jambo la kuepuka ni kununua dawa ya bei nafuu kwa bei ghali, unaenda hospitali private unapima unaambiwa utachomwa sindano 5 na kila sindano 20,000. Wanakuandikia jina la sindano ya bei ghali ile, ila wanakuchoma sindano nyingine sawa na ile ila ya bei nafuu kama 8,000 hivi.
Sawa.
 
Habari za wakati huu ndugu zanguni.........

Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.......

Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki......

Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.........

Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali......

Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.......

Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa....nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua........

Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam.....ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo......

Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine.....nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa......

Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu)....nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi....nilishtuka sana....kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakinj ndio basi tena ikawa nimeshapigwa.....yule binti mpaka leo ananionea haya......

NB;
Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.......
Ni kweli last two week nilikuwa zahanati X Kuna kazi nilienda kufanya wakati naongea na nurse wa pale akapigiwa simu kwamba Kuna msiba hivyo wanataka dawa ya sindano ya kumuhifadhi marehemu akawaambia pale dispensary hamna lakin atawaulizia kwenye kituo Cha afya Cha jirani, aliambia dawa IPO gharama ni sh 70,000 yeye alichofanya akamwita yule mfiwa akamwambia dawa IPO lakini bei ni 120,000 na hapo nimekuombea jamaa akajiliza wakafikia 100,000
Lakin baadae kwny maongezi yule nurse alijiskia vibaya baada ya kugundua hao watu walitoka kufiwa wiki ya NYUMA yake lakin akasema hana jinsia😁
Kwhy upigaji upo sana hata misibani
 
Habari za wakati huu ndugu zanguni.........

Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.......

Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki......

Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.........

Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali......

Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.......

Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa....nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua........

Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam.....ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo......

Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine.....nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa......

Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu)....nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi....nilishtuka sana....kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakinj ndio basi tena ikawa nimeshapigwa.....yule binti mpaka leo ananionea haya......

NB;
Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.......
Mzee,
Mimi nipo kwenye industry hii for years now najua in & out ikikupendeza taja jina la iyo dawa Mimi ntakwambia Bei gan?

Navyo fahamu hizo pharmacy kubwa haziruhusiwi kukuuzia wewe kibox kimoja other wise wamekusaidia TU

Kama dawa inauzwa wholesale price let say 6000 muuzaji wa retail walio wengi huzidisha 6000*1.5 so simply angekuuzia @ 12,000 sio mbaya


Karibu kwa swali Lolote, ushauri,maoni, muongozo n.k
 
Ni kweli last two week nilikuwa zahanati X Kuna kazi nilienda kufanya wakati naongea na nurse wa pale akapigiwa simu kwamba Kuna msiba hivyo wanataka dawa ya sindano ya kumuhifadhi marehemu akawaambia pale dispensary hamna lakin atawaulizia kwenye kituo Cha afya Cha jirani, aliambia dawa IPO gharama ni sh 70,000 yeye alichofanya akamwita yule mfiwa akamwambia dawa IPO lakini bei ni 120,000 na hapo nimekuombea jamaa akajiliza wakafikia 100,000
Lakin baadae kwny maongezi yule nurse alijiskia vibaya baada ya kugundua hao watu walitoka kufiwa wiki ya NYUMA yake lakin akasema hana jinsia😁
Kwhy upigaji upo sana hata misibani
Utu umeisha kabisa. Mtu anaweka cha juu hata kwenye mauti kusahau kuwa na yeye atakufa.
 
Habari za wakati huu ndugu zanguni.........

Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.......

Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki......

Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.........

Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali......

Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.......

Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa....nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua........

Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam.....ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo......

Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine.....nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa......

Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu)....nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi....nilishtuka sana....kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakinj ndio basi tena ikawa nimeshapigwa.....yule binti mpaka leo ananionea haya......

NB;
Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.......
Sasa duka la jumla na rejareja wapi na wapi?
 
Mzee,
Mimi nipo kwenye industry hii for years now najua in & out ikikupendeza taja jina la iyo dawa Mimi ntakwambia Bei gan?

Navyo fahamu hizo pharmacy kubwa haziruhusiwi kukuuzia wewe kibox kimoja other wise wamekusaidia TU

Kama dawa inauzwa wholesale price let say 6000 muuzaji wa retail walio wengi huzidisha 6000*1.5 so simply angekuuzia @ 12,000 sio mbaya


Karibu kwa swali Lolote, ushauri,maoni, muongozo n.k
Kwa hiyo hizo ndio bei elekezi kutoka Baraza la wafamasia....???
 
Habari za wakati huu ndugu zanguni.........

Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.......

Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki......

Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.........

Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali......

Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.......

Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa....nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua........

Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam.....ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo......

Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine.....nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa......

Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu)....nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi....nilishtuka sana....kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakinj ndio basi tena ikawa nimeshapigwa.....yule binti mpaka leo ananionea haya......

NB;
Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.......
Pole kwa hiyo kadhia mkuu, ila kwa upande wangu nina mtazamo tofauti na wewe/wengi.

Kwa upande wangu huo siwezi kuuita ni utapeli. Kwenye biashara ya mtu huwezi kumpangia apate faida kiasi gani maana hujui gharama za uendeshaji au mzunguko wa hiyo biashara yake. Miaka kadhaa iliyopita kuna mpiga debe alinikatishia tiketi ya kutoka Mbeya kwenda Mafinga kwa 15,000/=, ila nikiwa ndani ya bus akaja konda na kuanza kutoa tiketi rasmi, nilivyompa tiketi yangu, akaipokea na kunipa nyingine ambayo ilionesha nauli ni 10,000/=. Hayo yote wakati yanatokea, yule mpiga debe namuona yupo nje kwa dirishani. Sikumaindi sana as long as niliridhia wakati nampa ile hela, so nikaasssume nimemuungia hela ya kula.

Kipindi wewe unasema faida aliyokuwa anajitengenezea ni kubwa, kumbuka kuna dawa zingine mpaka zinaexpire hazijawahi kununuliwa. So take it easy and move on broh.
 
Dah!!
Pole sana ndugu.....

Watanzania tunaumizana sana....
Sio Tanzania tu. Makampuni matatu makubwa Marekani kwa uzalishaji wa insulin ni Eli Lilly, Novo Nordisk na Sanofi yote Marekani. Haya yanazalisha almost 99% ya mauzo ya insulin na yamefanya insulin bei iwe juu. Wakati production ya sindano moja haivuki $4, sindano hiyo inauzwa kwa wastani wa $35.

Mwaka 2000 Pfizer iliinunua Warner Lambert kwa $60 billion ya mwaka huo. 2013 Pfizer ikainunua Seagen kwa $43 billion. 2018 Bayer ya Ujerumani iliinunua Monsanto ya Marekani kwa $63 billion wakaingia kwenye utafiti wa GMO seeds.

Biashara ya madawa na vifaa tiba ina profit margin kubwa. Ni industry ya kawaida kununua kitu ukakiuza tenfold.
 
Mzee,
Mimi nipo kwenye industry hii for years now najua in & out ikikupendeza taja jina la iyo dawa Mimi ntakwambia Bei gan?

Navyo fahamu hizo pharmacy kubwa haziruhusiwi kukuuzia wewe kibox kimoja other wise wamekusaidia TU

Kama dawa inauzwa wholesale price let say 6000 muuzaji wa retail walio wengi huzidisha 6000*1.5 so simply angekuuzia @ 12,000 sio mbaya


Karibu kwa swali Lolote, ushauri,maoni, muongozo n.k
*1.5 ndio fair formula. Lakini Pharmacy kubwa haina maana ni wholesalers.
 
Habari za wakati huu ndugu zanguni.

Kama ilivyo ada na kawaida kuhabarishana habari mbali mbali zenye manufaa kwa ajili ya kuepushana na mambo yanayoonekana kutuathiri kwenye jamii na familia hii kwa ujumla wake.

Nimepata bahati mbaya ya kumuuguza mgonjwa hapa nyumbani kwangu mwenye ugonjwa wa muda mrefu anayelazimika kutumia dawa fulani kwa kila wiki.

Hali hiyo ilipelekea kuwa na bajeti ya kiasi cha Elfu 20 kila wiki ili kukidhi mahitaji ya mgonjwa wangu kimatibabu kwa maelekezo ya Daktari wake.

Nilikuwa navichukua kwenye pharmacy za mitaani wakinihakikishia kuwa dawa za namna hiyo ni adimu sana na hivyo ni ghali.

Walikuwa wananiuzia kila kidonge kiasi cha Elfu mbili.

Kuna siku ikatokezea pale wakawa hawana zile dawa....nikaona anamuita kijana wa boda boda ingawa walitaka kufanya siri lakini niliibahatika kunasa maongezi yao na kujua anapomuelekeza kwenda kuchukua.

Nikasikia jina la duka kubwa la pharmacy kubwa hapa Dar es salaam ambapo mimi mwenyewe nalijua lilipo.

Nikafanya maamuzi ya kwenda kununua huko nikamwambia basi siku nyingine nikamuona akawa mbishi kidogo lakini nikakomaa.

Kufika kule( huko kwenye hilo duka kubwa maarufu) nikakuta kule vile vidonge vinauzwa 6,000/= vyote kumi nilishtuka sana kutoka 20,000/= mpaka 6,000/= lakinj ndio basi tena ikawa nimeshapigwa, yule binti mpaka leo ananionea haya.

NB;
Nawasihi ndugu zanguni kama una uhitaji au matumizi ya dawa fulani wa muda mrefu jitahidi walau uzungukie maduka matano makubwa kujiridhisha maana hawa ndugu zetu wanaouza madawa wamepanga kuwa matajiri kupitia afya zetu na wapendwa wetu tunao wauguza.

Sio sawa tu. Huwezi enda Duka moja ukaafiki bei ya chochote, Hata condom, lazima upiganishe bei!
 
Back
Top Bottom