Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Mbeya hatukuwahi kuomba liwe jiji mbona mji wetu wa mbeya ulikuwa bora chini ya kina mpesya.

Sugu na mzee Mwakisisile kuliko hii takataka mnayoita jiji chini ya wavamizi wahuni wasiojulikana kina Tulia na wenzake.

Mnafunga na kupoteza watu halafu mnaleta visanii vyenu vinavyoliwa na kina pdidi utegemee watafurahi.

Yule kijana mpaka Leo haijulikani mmempeleka wapi
 
Ila mashabiki wa Diamond huwa wa jinga sana, samahani lakini.

Ufute jiji kwa sababu Diamond na msichana wake wameshushuliwa jukwaani? We lofa kweli.

Najua umeguswa sana na hili tukio, hayo ya wizi wa solar umeweka tu kuzugia katika kufikisha ujumbe wako. Maana hayo yanatokea kila mahali na sio kigezo kabisa cha kufuta majiji.
 
Kumbe humu Kuna watu weupe kiasi hk kwani uliambiwa hayo majengo ndo yamefanya lile jiji
Usijisemee kwa stress zako kwa vile malaya mmoja zuchu karushiwa chupa, unajua vigezo vya mji kuitwa jiji sidhani tabia kama ni kigezo kimojawapo, unazijua tabia za watu wa Dar kila uhuni na uchafu wote upo DAR.
 
Hapo umedanganya kwa chuki zako kwa Wasafwa. Wasafwa ni wakarimu sana na hawana shida na wageni kabisa. Acha UWONGO ndugu Vishu Mtata
Wewe ni msafwa nini?
Nimeishi nao kule Itua, saivi kidogo wameelimika ila bado ule ukabila wanao.

Na wameelimika kwa kulazimishwa kuishi na wageni watake wasitake maana hata huko milimani matajiri wamenunua na kujenga, hawana pa kukimbilia tena.

Wafabishara enzi hizo tulipata tabu sana, huwezi fanya battle na msafwa huko kwao utasanda tu.
 
Mbeya ya sasa ina unafuu mkubwa, mbeya mji uliokuwa na ujinga mwingi, miaka hiyo watu wakiuliwa hovyo.

Mbeya japo imejengeka ila bado watu wengine mioyo yao ni mibaya.

Ni miaka hii wameanza kwenda hata hao wasanii maarufu, pia wamejifunza
 
Hao wasanii wapigwe kabisa kwani ndiyo wanapumbuza wananchi ili nchi iendelee kuibiwa.

Najua lengo lako kuu lilikuwa ni kulalamikia huyo msanii uchwara na hilo la sola umeliweka tu ili kusindikiza.

Nchi yetu sasa hivi inahitaji fikra za mabadiliko na siyo matamasha kila kona wakati umaskini umejaa kila kona.
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Zuchu siyo msanii ni kolo tu.. Unapelekaje vitu visivyoeleweka Mbeya.
 
Mbeya ya sasa ina unafuu mkubwa, mbeya mji uliokuwa na ujinga mwingi, miaka hiyo watu wakiuliwa hovyo.

Mbeya japo imejengeka ila bado watu wengine mioyo yao ni mibaya.

Ni miaka hii wameanza kwenda hata hao wasanii maarufu, pia wamejifunza
Watanganyika tuepuke kuunganisha wasanii na siasa.

Wengi walio wasanii upstairs hawako sawa na wanasiasa wanawatumia sana kukusanya kundi la wajinga, ili wajinga waje kumchagua mjinga
 
Inawezekana kweli wamekosea? Lakini nani anafurahishwa na tabia za wasanii kuhusishwa husishwa na Ushoga? Au wewe unafurahishwa?

Kukataliwa kupo kwenye maisha, sio kila mara utapendwa, lazima ujifunze kupitia makosa na ubadilike....


Kuhusu kufutwa jiji, nafikiri umekurupuka, mji unachukua muda sana kujengeka mpaka kuwa jiji, kulishusha jiji ghafla kua mji maana yake uvuruge hii mifumo yoye isiwepo 👇👇
View attachment 3110714
Kwahyo kurushia watu makopo kumewasaidieni Nini hebu acheni ujinga
 
Watanganyika tuepuke kuunganisha wasanii na siasa.
Wengi walio wasanii upstairs hawako sawa,na wanasiasa wanawatumia sana kukusanya kundi la wajinga,ili wajinga waje kumchagua mjinga
Mbeya mjitafakari Sana ipo siku mtaitwa halmashauri ya Mji na hamtafanya kiti, hebu acheni uhuni
 
Back
Top Bottom