Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

Pole sana mkuu, ila hukupaswa kukaa kimya...
Hizo tabia za kinyani lazima tushirikiane kuitokomeza...

Ubaguzi wa kidini, ukabila ni unyani na ukifanyiwa na mtu usiwe mnyonge hata kama anafikiri yuko kwao...
Haya ni mambo ya kawaida , tunaishi nao fresh ...Ila mimi siwezi kabisa kila mtu na roho yake.
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Waanze kwanza kufuta ujinga kichwani mwako.
 
Walioingia chumbani kwa P Diddy wapigwe vita ili kuonyesha jamii haisuport ushoga,wamenifurahisha sana wana mbeya,
U P Diddy wenu huko huko msiulete huku
Kaka mkubwa unafikiri kwanini niliamua kukimbia mjini na kuja kijijini Mbeya ni vile nilijiona Nina misimamo Kama akina Mwaisa ambayo siwezi kuzionesha hapo mjini.
Itoshe kusema upididy hauruhusiwi mbeya
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Hizo sababu haziwezi kutumika kufuta hadhi ya eneo lolote kuitwa jiji au mji au manispaa, iwe Mbeya, Mtwara au mji wowote nchini.
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Kwani likifutwa watapata hasara gani?
Oxygen itaondolewa?
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Usiandike post kwa hasira,hapo watu wanaona hasira yako badala ya kuona unachotaka kuwafundisha. Hiyo mbeya iwe halmashauri ya mji mdogo kwa kipi? We unawajua watu wa mbeya kwa kiasi gani? Idadi ya watu waliofika kwenye tamasha haifikii hata idadi ya watu wanaokaa mbalizi,mbeya ina wilaya ngapi? Una generalize kwakuwa unaandika kwa kupanic.elimisha watu waliokosea usitoe povu.
 
Wewe ni msafwa nini?
Nimeishi nao kule Itua, saivi kidogo wameelimika ila bado ule ukabila wanao.

Na wameelimika kwa kulazimishwa kuishi na wageni watake wasitake maana hata huko milimani matajiri wamenunua na kujenga, hawana pa kukimbilia tena.

Wafabishara enzi hizo tulipata tabu sana, huwezi fanya battle na msafwa huko kwao utasanda tu.
Na wewe Vishu Mtata ni kabila gani? Hebu tuweke makabila yetu wote kwa pamoja ndipo tuyajadili
 
Machawa na mashoga hatuwataki huku Mbeya... Useng£ wenu uishie huko huko!
 
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.

Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;

1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.

2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji

Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.

NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Takataka kabisa wewe ,kwahiyo ilifutwa kuwa jiji ndio nani anakuwa kakomolewa ?
 
Takataka kabisa wewe ,kwahiyo ilifutwa kuwa jiji ndio nani anakuwa kakomolewa
Hakuna sifa za kuitwa jiji la Mbeya huku wenye mji wanaishi Kama wapo kijj, imagine wanaiba solar za taa za barabarani hii hawa watu wanaakili kweli
 
Usiandike post kwa hasira,hapo watu wanaona hasira yako badala ya kuona unachotaka kuwafundisha. Hiyo mbeya iwe halmashauri ya mji mdogo kwa kipi? We unawajua watu wa mbeya kwa kiasi gani? Idadi ya watu waliofika kwenye tamasha haifikii hata idadi ya watu wanaokaa mbalizi,mbeya ina wilaya ngapi? Una generalize kwakuwa unaandika kwa kupanic.elimisha watu waliokosea usitoe povu.
Inakuwaje watu wapo jj lakin bado wanaiba betri za solar za barabarani
 
Back
Top Bottom